Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kwa mujibu wa Vitabu vya dini ni kwamba;
Wezi, washerati, waongo, wasiotii wazazi wao, wazinifu, wanaotamani, wasiomtii Mungu, washirikina na watendaji wa dhambi ya aina yeyote Adhabu yao ni kuchomwa Kwenye Moto wa umilele,
Yaani ata Yule Mwizi wa penseli na daftari school asipotubu ataenda kuchomwa moto sawa sawa na mwizi wa matilioni au mfiraji.
Hii Adhabu ikoje wakuu haina Kosa dogo wala kubwa wote Adhabu ni sawa.
Je ni bora uchomwe moto kwa kutamani mali ya Mtu au uchomwe moto kwa kuitamani na kuitafuna mali yenyewe kabisa.
Cc Zero IQ
Wezi, washerati, waongo, wasiotii wazazi wao, wazinifu, wanaotamani, wasiomtii Mungu, washirikina na watendaji wa dhambi ya aina yeyote Adhabu yao ni kuchomwa Kwenye Moto wa umilele,
Yaani ata Yule Mwizi wa penseli na daftari school asipotubu ataenda kuchomwa moto sawa sawa na mwizi wa matilioni au mfiraji.
Hii Adhabu ikoje wakuu haina Kosa dogo wala kubwa wote Adhabu ni sawa.
Je ni bora uchomwe moto kwa kutamani mali ya Mtu au uchomwe moto kwa kuitamani na kuitafuna mali yenyewe kabisa.
Cc Zero IQ