Recent content by Vujole

  1. V

    Mtafsiri wa maandishi

    Ikiwa wewe ni mwandishi wa vitabu, makala, n.k au ni mchapishaji (publisher) unayetaka kutafsiriwa maandiko kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili au kinyume chake tuwasiliane. Ni kwa gharama nafuu sana! Ninafanya kazi kwa kasi na usahihi mkubwa.
  2. V

    Utafsiri

    Ikiwa wewe ni mwandishi wa vitabu, makala, n.k au ni mchapishaji (publisher) unayetaka kutafsiriwa maandiko kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili au kinyume chake tuwasiliane. Ni kwa gharama nafuu sana! Ninafanya kazi kwa kasi na usahihi mkubwa.
  3. V

    Kwa wapenzi wa James Hadley Chase

    Guys kumbe kuna watz wanaopenda kusoma vitabu? nimefurahi sana! Nimemsoma JHChase kwa novel zake 3, including Mission to Venice. Nimeambiwa ana title 120. Kuna mwandishi anaitwa John Grisham, ana title nyingi ila 15years ago nilisoma "The Testament" nampa salute kwa mikono miwili...
  4. V

    Upande wa pili wa hotuba ya JK Bungeni

    Ndiyo maana nimetaka kujua maoni yako, Ni kweli hakufanya lililokuwa jukumu la "mgeni rasmi". asingewazodoa tume, akawapongeza je?
  5. V

    Upande wa pili wa hotuba ya JK Bungeni

    Hivi JK angeunga mkono kwa uzito uleule alioutumia kuikosoa, ungekuwa na maoni gani?
  6. V

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Jaluo; hata kufanya saaana na wanawake ina madhara. Prostate cancer. Muhimu ni jamaa ajikusanye upya kuamua ni nini anataka kuishi katika maisha. Kisha aishi uamuzi wake!
  7. V

    Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

    Mkuu mwenzangu Chabruma; ukweli ni mchungu ila tukiujadili ulivyo kipindi cha kuonja uchungu kitapungua. Kila wakati CCM ilipofanya uamuzi wa kuutetea muungano tulionao katika vikao vya chama na serikali huipendelea Zanzibar. Kwa mfano mdogo katika hotuba ya Mzee wetu Warioba, anaeleza...
  8. V

    Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

    Mwenyekiti taarifa: Jaji Mstaafu Joseph Warioba ameamua kuwapendelea Wazanzibari katika hotuba yake ya kihistoria katika kuandika katiba mpya. Popote ambapo Jamhuri ya Muungano au Chama cha Mapinduzi kilipofanya uamuzi kuihurumia Zenji amepita kana kwamba ni haki. Niko tayari tujadili.
  9. V

    Translation

    I would like to work for any individual or an institution: to translate documents from English to Kiswahili. Am fast and highly accurate. Very competitive!!
  10. V

    Tanzania Tunaibiwa kwa sababu ......

    Kila kukicha utasikia hili ama lile kuhusu kuibwa kwa mali za nchi yetu Tanzania. Juzi Madini ya Mwadui, Jana Yuraniamu ya Bahi, Leo Mabilioni hazina, kesho gesi ya Mtwara, kesho-kutwa Twiga, ndovu na faru; lahaullal! Moja ya sababu ni kwa vile tunavyo vya kuibwa. Maana Tz ingekuwa fukara...
  11. V

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Halafu wataujenga ubalozi wao on the slopes of mt. Kilimanjaro. Itashangaza wengi, ila kuna msingi wake.
  12. V

    Vita ya mashamba na mapori

    Wadau; Naomba kujua kwa nini kwa asilimia kubwa ugomvi wa ardhi kati ya wafugao na walimao; wafugao huwa ni wamasai zaidi? (Iwe Arusha, Moro, Lindi au Katavi) Kwani "normads" ni wamasai tu nchi hii? Na wasukuma ni wafugao ila ni nadra kuwasiki ktk mitifuano hiyo. Wamasai kulikoni?
  13. V

    Utamaduni wa kujisomea, kuelewa na siasa za Tanzania

    Mleta uzi, umeingiza ushabiki mahala, ila ni HOJA MUJARABU. Mimi sisemi ni wanasiasa tu bali kila mtz ktk kada yake lazima AJIFUNZE utamaduni wa kujisomea. Vijana hasa, ndio pona yetu ktk kuongeza maarifa na kupanua upeo!
  14. V

    Rose Kamili Sukum atangaza kugombea urais kupitia CHADEMA

    Wakifungwa ndo watakuwa hawajatelekeza familia? Ongeza shule ya kufikiri.
  15. V

    Wavaa mlegezo, vimini kuchapwa viboko

    Uwe makini na Hiki kitu haki za binadamu. Kila mtu akipewa uhuru unaojaribu kuutetea. Labda nikuulize: kwa nini utamshtaki au kumuua atakayekuibia? Je, uko tayari kupokea mahari ya kaka yako "akiolewa"? Nao ni haki zao!!??!!
Back
Top Bottom