Recent content by Vpn01

  1. Vpn01

    Naomba List ya Movies zenye maudhui ya kusikitisha

    Mimi ni mgumu kutoa chozi, ila hiyo PERSUIT OF HAPPINESS imenishangaza, chozi limenitoka japo kwa kulazimisha, hasa jamaa alipokubaliwa kufanya kazi, ile reaction yake labda uwe na moyo wa jiwe
  2. Vpn01

    Naombeni msaada wa hili la kutopigia ndugu simu

    Safi, ujumbe wako umenitia nguvu maana ndiyo hali ninayoipitia. Nikifa kila kitu kimeisha, atakayenizika simjui
  3. Vpn01

    Wanaume ni kipi kinafanya umepachukia nyumbani kwako?

    Ubunifu wa mke umekwisha, hajali tena kama zamani usafi wa nyumba. Pia ulevi wa kufuatilia tamthilia za azam umemfanya kupuuzia mambo mengine ya msingi. Raha ya kurudi home nilipopajenga kwa maumivu makali imepungua sana. La mwisho ni kamdomo na visirani... Aaah bora nikeshe bar na wana
  4. Vpn01

    Kwanini wananchi hufurahia vifo vya viongozi wao au watawala wao?

    ETI WANASEMA NGUVU ILIYOTUMIKA ILIKUWA KUBWA!!!! NDOGO NI IPI??? Tatizo linaanzia hapo kwanza
  5. Vpn01

    Tupunguze Siri Wakuu

    Kuna kipindi nilikuwa na pesa bank nyingi tu, nikaona ni bora nimshirikishe mwenzangu ili tuone tunafanyaje. Ila kabla sijafikia hatua ya kumshirikisha ikatokea hali ya kutokuelewana na mwenzangu ktk hali tu za kimaisha. Nikasema hebu subiri kwanza nisimshirikishe. Tofauti zetu zilipozidi oooh...
  6. Vpn01

    Kati ya mwanamke na mwanaume, nani huathirika zaidi ikitokea ndoa imevunjika?

    Anaweza kuathirika yeyote kutegemeana na aina ya maisha mliyokuwa mkiishi na muda mlio ishi pamoja. Ndoa inapovunjika mara nyingi ni furaha kwa mmoja na huzuni kwa mwingine... Kusema mwanamke pekee ndiye anayeathirika zaidi kwenye kila anguko la ndoa HAPANA. Yeyote yule anaweza anguka kivyovyote...
  7. Vpn01

    Uzi maalumu kwa wale wote walio single

    Ni kweli maisha ya single yana upweke sana hasa ukiwa tayari umeanza kujipata kimaisha... Ila sasa ni maisha fulani utakayokuja kuyamiss sana ukishaingia kwenye ndoa na mtu asiye sahihj, hasa uhuru ulio nao sasa
  8. Vpn01

    Hasara za kuwa baba wa kambo

    Jidanganye hivyo hivyo
  9. Vpn01

    Kipi kimekufanya udumu kwenye mahusiano yako mpaka leo?

    Haki mwanamke kama huyu nitampenda mpaka naingia kaburini
  10. Vpn01

    Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)

    Maana ya ndoa ni UTAPELI Kama kuna maana nyingine ya ndoa kwa kizazi hiki basi kila mtu ashinde mechi zake
  11. Vpn01

    Wanawake mnaojenga nyumba kwa siri bila mwenza kujua huwa mnamaanisha nini?

    Hii dhana ya wanawake kujimilikisha watoto huwa inanitoa sana mchezoni. Na wangekuwa wanajipa mimba wenyewe sijui ingekuwaje...
  12. Vpn01

    Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

    Hii hadithi inasisimua balaa. Kama najiona mimi tu japo story zetu ni tofauti kidogo sana
  13. Vpn01

    Kubaguliwa kwa waafrika na watu weupe huenda sababu kuu ni Tabia zetu zilizo ndani ya damu zetu

    Hili ni kweli na tunatakiwa tubadilike sana Nikiwa chuo, ukiingia chooni hukosi maandishi na masinki kupasuka. Nilikuwa napata shida sana kujua aina ya watu tuliokuwa pale chuoni na vile tunajiita wasomi Huruma sana
  14. Vpn01

    Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

    Eti nampa bure... Na hapohapo unasema huwa unamiss kusex nae... Wanawake bwana hata sijui mnataka nini, umalaya tu siku hizi ndiyo umejaza vichwa vyenu Kuna sehemu imeandikwa ukikipeleka hiko kikojoleo kwa mwanaume ambaye ni mpenzi wako lazima akupe pesa? Kataa ndoa wana hoja nzito mno
  15. Vpn01

    Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

    Hivi hawa watu wenye biashara hii wanapitia njia gani kutajirika maana kutwa naona wanasumbuliwa na TRA
Back
Top Bottom