Mimi ni mgumu kutoa chozi, ila hiyo PERSUIT OF HAPPINESS imenishangaza, chozi limenitoka japo kwa kulazimisha, hasa jamaa alipokubaliwa kufanya kazi, ile reaction yake labda uwe na moyo wa jiwe
Ubunifu wa mke umekwisha, hajali tena kama zamani usafi wa nyumba. Pia ulevi wa kufuatilia tamthilia za azam umemfanya kupuuzia mambo mengine ya msingi. Raha ya kurudi home nilipopajenga kwa maumivu makali imepungua sana. La mwisho ni kamdomo na visirani... Aaah bora nikeshe bar na wana
Kuna kipindi nilikuwa na pesa bank nyingi tu, nikaona ni bora nimshirikishe mwenzangu ili tuone tunafanyaje. Ila kabla sijafikia hatua ya kumshirikisha ikatokea hali ya kutokuelewana na mwenzangu ktk hali tu za kimaisha. Nikasema hebu subiri kwanza nisimshirikishe. Tofauti zetu zilipozidi oooh...
Anaweza kuathirika yeyote kutegemeana na aina ya maisha mliyokuwa mkiishi na muda mlio ishi pamoja. Ndoa inapovunjika mara nyingi ni furaha kwa mmoja na huzuni kwa mwingine... Kusema mwanamke pekee ndiye anayeathirika zaidi kwenye kila anguko la ndoa HAPANA. Yeyote yule anaweza anguka kivyovyote...
Ni kweli maisha ya single yana upweke sana hasa ukiwa tayari umeanza kujipata kimaisha... Ila sasa ni maisha fulani utakayokuja kuyamiss sana ukishaingia kwenye ndoa na mtu asiye sahihj, hasa uhuru ulio nao sasa
Hili ni kweli na tunatakiwa tubadilike sana
Nikiwa chuo, ukiingia chooni hukosi maandishi na masinki kupasuka. Nilikuwa napata shida sana kujua aina ya watu tuliokuwa pale chuoni na vile tunajiita wasomi
Huruma sana
Eti nampa bure... Na hapohapo unasema huwa unamiss kusex nae... Wanawake bwana hata sijui mnataka nini, umalaya tu siku hizi ndiyo umejaza vichwa vyenu
Kuna sehemu imeandikwa ukikipeleka hiko kikojoleo kwa mwanaume ambaye ni mpenzi wako lazima akupe pesa?
Kataa ndoa wana hoja nzito mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.