Huko porin kwenu hakuna mlinzi? Shamba boy?? Na hata mpambe wako wawili au 1 sasa wewe piga tonge kiuchovu uone kama huyo huko porin asiwwtengee wanaojua kukata tonge vizur
Ungegegedua b4 bro wako hajamuoa huyo mama no kosa ila asaiv undugu upo kwa sababu bro wako kauunganisha na huyo ni mwanao. Naww watakiwa umshauri we ndo kwanza waona rahaa kujichatisha vileeee!!!! Bro cku likibuma ndo utajua damu ya bro wakoimeunganishaje ss!!!
Me naaamin mbele ya mafanikio hakuna kabila!! Hawa wachaga sio wote wametajirika na sio wote wapiga kazi. Kwanza ni wanywaji, wauaji wachawi, pia wabaguzi haya hujayaona?
Habari zenu wadau,
Natumain tu wazima, nlipenda leo tujadiliane juu ya app ya premise. Kwa kuanza tu hii ni app ya kupata vijipesa online haitajirishi ila ni ya kupata pesa za vitunguu tu. Napenda wajuzi waje watueleze vitu vifuatavyo:
1. Muda wa kupata survey za picha
2. Jinsi ya kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.