SuperImpressor
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,504
- 646
Mimi sitakaa nikasahau enzi zile za mabundi night ya Voda ambapo sh.200 ulikuwa unagonga unlimited internet kuanzia saa nne usiku hadi asubuhi. Tulienjoy sana wajanja night. Na baadaye ilipanda hadi sh.500.
Na baada ya miaka kadhaa waliniambia niweke kiasi chochote cha fedha kwenye akaunti yangu ya M-Pesa ili nipate one week unlimited internet nikadhani masihara, nikaweka 2000, aisee nilienjoy sana.
Hizo ni baadhi tu.
Sent from my cupboard using mug
Na baada ya miaka kadhaa waliniambia niweke kiasi chochote cha fedha kwenye akaunti yangu ya M-Pesa ili nipate one week unlimited internet nikadhani masihara, nikaweka 2000, aisee nilienjoy sana.
Hizo ni baadhi tu.
Sent from my cupboard using mug