Military Genius
JF-Expert Member
- Mar 3, 2019
- 760
- 1,445
.futa dream League download Indonesia bus simulator utakuja kunishukur baadaeJamii forums
True caller
Shazam
Dream league (game)
Sent from kitochi
.futa dream League download Indonesia bus simulator utakuja kunishukur baadaeJamii forums
True caller
Shazam
Dream league (game)
Sawa mkuu.futa dream League download Indonesia bus simulator utakuja kunishukur baadae
Sent from kitochi
Mbona huwa siielewi hiyo game ya bus..futa dream League download Indonesia bus simulator utakuja kunishukur baadae
Sent from kitochi
.futa dream League download Indonesia bus simulator utakuja kunishukur baadae
Sent from kitochi
cheki na AC MARKET & HAPPYMOD humo unashusha mapaka Apps zakulipia Bureeee kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
.mkuuu iyo game iko poa sana labda tu kama simu yako ishindwe kuimuduMbona huwa siielewi hiyo game ya bus.
.mkuu nipe maelezo kidogo unataka app ya kuedit background kivip mkuu maaan apps zpo mingmkuu hbr yako naomba msaada pse kama unafahamu app nzuri ya ku edit picha background pse na camera pia yenye uwezo wa kupiga background photo mi natumia Samsung S9
.mkuu nipe maelezo kidogo unataka app ya kuedit background kivip mkuu maaan apps zpo ming
cjui hata nikuelekeze vipi kwa mfano umepiga picha eneo flani ila hutaki vitu vilivyo nyuma yako vionekane sasa kuviwekea shade fulani visionekane kwa mbali ndo nachotaka yaani ibaki picha kama picha nimejaribu brul ila wanazingua sio app nzuri uki edit picha inatia shade mpaka picha yenywe xo inakuwa haina mwonekano mzuri!!
Ni game la aina gani kwanza?.mkuuu iyo game iko poa sana labda tu kama simu yako ishindwe kuimudu
Kinachofanya simu licheze au lisicheze ni uwezo wa RAM ( Random access memory) sasa kama simu yako ni chini ya RAM gb 1 tegemea litazingua tu kwa ma game makubwa.Io game kwa simu zetu za mtk uwaga aitaki je tufanyeje icheze?
Pm kufanya nn?Anayetaka app ya kusikiliza mazungumzo ya mpenzi wake popote anapoenda aje DM..
Kinachofanya simu licheze au lisicheze ni uwezo wa RAM ( Random access memory) sasa kama simu yako ni chini ya RAM gb 1 tegemea litazingua tu kwa ma game makubwa.
Nb; unashauriwa uwe na simu angalau yenye uwezo wa RAM gb 1 kuendelea huko ili game licheze kwa ufanisi mkubwa.
Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako
Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako
Ukiona hivyo ujue anataka chochote kituPm kufanya nn?
Acha roho ya korosho mkuu, mwaga mambo yote hadharani hapa tupate kufaidi.
Hapana siko hivyo mkuu..ilikua ni changamsha genge tu.Ukiona hivyo ujue anataka chochote kitu
.nmekupata mkuu appps zpo nying za kuweka blur ila znaitaj kaucreative kidogo kuna app kama after focus ni nzur sema sio simple kiiivyo mkuu ila ata befunky pia unaweza tumia ni nzur kuwekea lakin znatumia ka muda kidgo labda untumia ka pic ka moja pm nkuoneshe jins ya kuweka kama hautojali lakncjui hata nikuelekeze vipi kwa mfano umepiga picha eneo flani ila hutaki vitu vilivyo nyuma yako vionekane sasa kuviwekea shade fulani visionekane kwa mbali ndo nachotaka yaani ibaki picha kama picha nimejaribu brul ila wanazingua sio app nzuri uki edit picha inatia shade mpaka picha yenywe xo inakuwa haina mwonekano mzuri!!