Recent content by Voretus

  1. V

    Diwani wa CHADEMA aahidi kupambana na 'wanaomchafua' marehemu Nyaga Mawala

    kuna mengi tunahitaji kujua kuhusu kifo cha Nyage, what really happened? huyu jamaa alikuwa msomi mzuri tu tena tajiri, anakufa kifo cha kujirusha gholofani.....mhh
  2. V

    Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

    Watabanaaaaa wataachia tu, just stay imara daima pamoja sana! viva chdm
  3. V

    Kuna uhusiano kati ya period na kuharisha?

    usiogope inatokea kwa baadhi labda tu kama inaendelea baada ya period otherwise its normal
  4. V

    Hawa watu hawana huruma na sisi na wana ma NGO kwa ajili ya watoto wa Africa

    Asante umesomeka mkuu!!! iwapo sisi tutashindwa kuwajari watoto wetu then hakuna NGOs wala mtu atakaewajari
  5. V

    Kuteswa kwa Kibanda kumeacha alama nyingi za ikulu

    duh basi kazi ipo!!!!
  6. V

    Serikali ya Kikwete ni balaa.......

    Duh! nimependa hiyo....we noma
  7. V

    Kejeri ya mzungu kwa mwafrika

    eee binadam......(binadamu wote ni ndugu????????)
  8. V

    Chama cha Kilaghai Tanzania...

    Pole sana ndugu haya mambo ungeyaleta miaka ile....siyo leo too late! kama ni ulaghai basi baba yake ni yule aliyekisajiri na ndiyetunapaswa kuanza naye. Pia fuatilia hesabu za pesa ya viwanja vya michezo, packing, vyumba vya kupangisha n.k hapa kunatatizo kubwa sana kuliko hizo sadaka za...
  9. V

    MWANAFUNZI HAFAULU KWA MAANDAMANO, dawa ni kubadili mfumo wa elimu nchini sio kila jambo maandamano

    Kweli tuna wakati mugumu kama taifa, yaani mtoa maada anadhani na kuamini kuwa mfumo mzuri pasipo watendaji wenye uwezo na nia thabiti inatosha kubadili elimu ya tanzania? kazi kweli kweli!!! kama ulivysema eti tuige mfumo wa shule za wakatoliki, yaani unadhani huo mfumo wa shule za wakatoliki...
  10. V

    Kipigo kwa Kibanda nadharia sawa na mauaji ya Mwangosi

    Nimekusoma mkuu....hata mimi ninaamini ni mbinu za watawala lakini naamini hata siku moja ukweli haushindwi na uongo, mwisho wao utafika tu....
  11. V

    Hongera Magufuli Kwa Kuwapasha CHADEMA

    Pole sana, kwataarifa tu; kazi ya mbunge na diwani ni kuifanya serkali ifanye kazi na kutimiza wajibu wake kwa wananchi. Kwa hiyo iwapo serkali imefanya miradi ya maendeleo Musoma ni kwa sababu inasimamiwa ipasavyo na ndo maana hawakutekeleza kabla ama hawakupeleka miradi hiyo sehemu nyingine ya...
  12. V

    YESU amenipa kazi UN

    Hongera sana! kumbuka kusimamia njia uliyopitia kupata kazi (imani katika Yesu kristu) toa shukrani na kutimiza yote yanyoukupasa na ulipotoa ahadi usisahau kuitimiza ni muhimu sana kwa maendelea yako
Back
Top Bottom