Recent content by VOICE OF MTWARA

  1. VOICE OF MTWARA

    KERO Mfumo wa SOMA wa DIT ni kero kwa wanafunzi

    elimu ya bongo kichomi sana. yani chuo cha teknolojia kinashindwa kufanya mambo madogomadogo ya teknolojia husika
  2. VOICE OF MTWARA

    DOKEZO Prof. Esther William Dungumaro na Ubadhirifu wa Fedha MUCE

    Si kwa maana ya kumtetea, lakini ukweli wa mambo vyuo na taasisi nyingi za Umma ziko taabani kiuchumi. 1. Vyuo kwa kiasi kikubwa vinajiendesha kwa mapato ya ndani ambayo ni ada za wanafunzi. Ada yenyewe ni ndogo mno. Kwa mfano shahada nyingi ziko chini ya shilingi 1,500,000 na haijawahi kupanda...
  3. VOICE OF MTWARA

    Mnafanyaje hadi mnapendwa?

    Hela uwezo wa kupiga pumb*
  4. VOICE OF MTWARA

    Kutoka kimapenzi na ndugu

    Hakukuwa na familia nyingine za kuchumbia zaidi ya hiyo moja? Huyo mkubwa achana naye, ukikza fuvu atakuja kuuza nyumba yenu ukiwa umelala ndani
  5. VOICE OF MTWARA

    TANZIA Mwanamuziki Waziri Sonyo afariki dunia

    1. banza Stone 2. Muumini Mwinjuma 3. Ally Choki 4. Omari Mkali 5. Badi Bakule 6. Mao Santiago 7. Ndanda Cossovo 8. Maluu Stonchi 9. Pacheko Mbongo 10. Nyoshi Alsadati 11. Papi Kocha 12. waziri Sonyo 13. Jado FFU 14. Toto Tundu 15. Roshi Mselela 16. Rogat Hegga 17. Abdul Misambano 18. Msafiri...
  6. VOICE OF MTWARA

    Ukifuatilia hizi kampeni, na ukisikiliza sera za wagombea urais, utagundua nchi imeshajichokea

    Haina mwenyewe hii na hakuna dalili yoyote ya nuru huko mbele
  7. VOICE OF MTWARA

    TANZIA Mwanamuziki Waziri Sonyo afariki dunia

    Aisee leo ndio nimefahamu kama Sonyo amefariki
  8. VOICE OF MTWARA

    Clement Mzize umemkosea heshima sana wakala wako, wachezaji wazawa ndio mana wengi hawafanikiwi kucheza nje ya nchi

    Huwezi kuondoka Yanga kwenda Al-Masri, timu ambayo haichezi Champions league na haina muelekeo wowote. Angetakiwa na Ahly au Pyramids ingekuwa sawa. By the way huyo anayejiita wakala bado hajachelewa. Angenunua timu ya ligi kuu akawa anauza wachezaji huko anakotaka yeye. Alafu kwanini...
  9. VOICE OF MTWARA

    Fadlu Davis; Yanga wana ubora kwenye match kubwa kuliko sisi

    Sio visingizio wandugu, Kocha amekuwa mkweli. Akifungwa asilaumiwe bado anajenga timu
  10. VOICE OF MTWARA

    Nikiwa kwenye maandalizi ya tendo, manii zinatoka na hamu ya kuendelea na tendo inakata kabisa

    Nyeto umeacha, lakini hayo ndio madhara yake. 1. fanya haya mazoezi angalau mara 300 kwa siku, angalau kwa miezi miwili bila kufanya ngono. Pia fanya na mazoezi mengine 2. Jaribu kumzoea huyo Mwanamke. Kaa naye hata masaa mawili mnapiga stori za kawaida tu. Hii itasaidia kufukuza nyege. 3...
  11. VOICE OF MTWARA

    Kocha Florent Ibenge anavyoisuka Azam sitoshangaa msimu ujao akibeba kömbe la NBC hata Shirikisho, Mark My Words

    Nimeangalia hiyo mechi. Sijaona chochote cha maana ambacho Azam wameongeza. Timu haiflow vyema kutoka nyuma, kati hadi mbele. Hakuna goli lolote la buildup walilofunga jana
  12. VOICE OF MTWARA

    Best Naso: Mfalme wa show za chaka to chaka, jionee hapa jinsi anavyosepaga na kijiji

    Huwa namuelewa sana Best Naso hasa ule wimbo wake "Hadija"
Back
Top Bottom