Si kwa maana ya kumtetea, lakini ukweli wa mambo vyuo na taasisi nyingi za Umma ziko taabani kiuchumi.
1. Vyuo kwa kiasi kikubwa vinajiendesha kwa mapato ya ndani ambayo ni ada za wanafunzi. Ada yenyewe ni ndogo mno. Kwa mfano shahada nyingi ziko chini ya shilingi 1,500,000 na haijawahi kupanda...
Huwezi kuondoka Yanga kwenda Al-Masri, timu ambayo haichezi Champions league na haina muelekeo wowote. Angetakiwa na Ahly au Pyramids ingekuwa sawa.
By the way huyo anayejiita wakala bado hajachelewa. Angenunua timu ya ligi kuu akawa anauza wachezaji huko anakotaka yeye. Alafu kwanini...
Nyeto umeacha, lakini hayo ndio madhara yake.
1. fanya haya mazoezi angalau mara 300 kwa siku, angalau kwa miezi miwili bila kufanya ngono. Pia fanya na mazoezi mengine
2. Jaribu kumzoea huyo Mwanamke. Kaa naye hata masaa mawili mnapiga stori za kawaida tu. Hii itasaidia kufukuza nyege.
3...
Nimeangalia hiyo mechi. Sijaona chochote cha maana ambacho Azam wameongeza. Timu haiflow vyema kutoka nyuma, kati hadi mbele. Hakuna goli lolote la buildup walilofunga jana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.