Ile chorus ya 'Ndoto tata' aliua mbaya![]()
Radio cassette gani hiyo ya miaka ya 60? Hizo fix kijana.Daah, kumbe basi sikulijua hili mkuu, kuna dereva bonge nae walikuwa wanamwita kitonsa miaka ya 90.
Kweli hizi nyimbo za zamani zinagusa hisia sana, nimezijaza sana kwenye memory ya simu yangu,
Nakumbuka mzee wangu (rip kwake) alikuwa na radio cassette yake aina ya Phillips 540 enzi hizo, alinunua miaka ya 60's alikuwa anapiga sana kanda za miziki ya zamani, nyingi alizinunua moja ya duka maarufu sana la kanda za muziki pale kurasini likiitwa "Bukavu!"
Pole waja kutoa leo mwanawane!Pole sana Waziri.
Kwani huko jela ulipokua hakukua na news?Aisee leo ndio nimefahamu kama Sonyo amefariki
pole mkuuAisee leo ndio nimefahamu kama Sonyo amefariki