Ulikuwa ni mfano tu kwamba kuna baadhi ya secta ukiwekeza kuja kupata hela yako ni mpk hisa zako ziuzwe, bt sio utt. Mfano wake ndo ukawa voda, bt sikusema kuwa nilikuwa nategemea kuuza hizo hisa ndo niingie utt, umeelewa sasa.
Hawa ndio wale ambao jirani yake anaepambana akitoboa maisha basi huamini kuwa ni utajiri wa nguvu za giza, hawaamini ktk kujituma coz ameshindwa hata kuingia kwenye mitandao na platform nyinginezo kufuatilia hki kitu ambacho anakiita scam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.