haaaaaaaaa haaaa wake up galllllll. huyo akibanwa ndo anakuja nawe unampaaaaaaa. cku izi mapenzi ya kudum hamna. CHAPA ILALEEEEEE MPANGO MZIMA. SO KAMA VP JIONGEZE
hapo ndo nashindwa kuwaelewa!!!!!!!!!!!!! Wanafanyia mazoea na hawatumii muda kujiridhisha na viwango wanavyotengeneza!! Na pia suala la fake scenarios.....yaan dahhh
ni aibu harafu ni hasara kwao maana wanakosa soko la nje kwa ubahili wao. na inakuwaje wanatoa filamu hata bila kuedit hizo lugha!!!!!!!!!! wanaangalia mavazi tuu.
Jamani wana jf tusaidiane katika hili pia, subtitle kwenye filamu zetu za kinyumbani mi naona bado ni mzozo! Ina maana hao maprodyuza na madairekta hawana uwezo wa kutafuta watu ambao ni compitent ktk lugha hizi mbili yaan eng and swahili au ndo bajeti finyu?!!!! Kwa mpango huu kuvuka boda...
Hao pia ni mafisadi tuu kama wenzao sema tuu wamepata nafasi kuwanyooshea vidole wenzao. Waroho wa madaraka hawawezi kujiuzuru hata uwafunge kamba. Mafisadi tuuuuuu
Serikali itatuzoea, jambo la msingi ni kujenga hoja za kuibana serikali iwahudumie watu hawa mambo ya kuchangishana kila cku wataona ndo mpango mzima kuwapiga piga raia wasio na hatia then hao hao raia wanyonge tuchangishane kutibu majeraha. Ni upuuzi na inauma sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.