Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wana JF,
Ni ushauri wangu tu kwa hawa jamaa wawili ambao walijitoa kimasomaso kuzungumza hadharani mbele ya vyombo vya habari kupinga kampuni ya dowans kulipwa mabilioni ya fedha zinazotokana na wananchi maskini. Najua serikali imejipanga kwa udi na uvumba kuilipa dowans. Endapo mpango huo utatekelezwa, nawashauri mzee sitta na mwakyembe wajiuzuru mara moja ili walinde heshima yao mbele ya umma wa watanzania. Kwa kufanya hivyo, siyo tu watakuwa wamejijengea heshima kubwa, bali itakuwa ni rekodi ya aina yake katika historia ya nchi yetu. Ni jambo ambalo halitakuja lisahaulike katika historia ya nchi yetu. Kuendelea kukaa kwenye serikali ya kidharimu isiyowajali wananchi wake, kutawavunjia heshima na hata RA mwenyewe atawadharu na kuwakebehi sana. Kazi kwenu sitta na mwakyembe. Yetu macho na masikio.
Ni ushauri wangu tu kwa hawa jamaa wawili ambao walijitoa kimasomaso kuzungumza hadharani mbele ya vyombo vya habari kupinga kampuni ya dowans kulipwa mabilioni ya fedha zinazotokana na wananchi maskini. Najua serikali imejipanga kwa udi na uvumba kuilipa dowans. Endapo mpango huo utatekelezwa, nawashauri mzee sitta na mwakyembe wajiuzuru mara moja ili walinde heshima yao mbele ya umma wa watanzania. Kwa kufanya hivyo, siyo tu watakuwa wamejijengea heshima kubwa, bali itakuwa ni rekodi ya aina yake katika historia ya nchi yetu. Ni jambo ambalo halitakuja lisahaulike katika historia ya nchi yetu. Kuendelea kukaa kwenye serikali ya kidharimu isiyowajali wananchi wake, kutawavunjia heshima na hata RA mwenyewe atawadharu na kuwakebehi sana. Kazi kwenu sitta na mwakyembe. Yetu macho na masikio.