Inaumiza mno yaani Mimi ombi langu limefika mkoani naambiwa nikachukue nianze upyaa kwenye mfumo Hali ya kuwa walipokea na kukaa nalo kwa muda wotee huo ,,wanasahau nilitumia gharama za kwenda na kurudi halamashauri,,mkoani acha tu
Yaaani Kuna sababu nyingi zinazofanya Hadi walimu au wauguzi kufanya hivyo.
1.1/3 yaani alishakopa bank mpaka vigezo vinambana kukopa tena bac anenda huko
2.Ajira mpyaa,hapa Kuna makundi mawili Kuna wale wale ambao wameajiriwa tuu wanataka mkopo coz alishasota sanaa mtaani inabidi achukue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.