Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,944
- 177,160
Tamisemi wanazingua
Tamisemi wanazingua
Tunashughulikia suala lako. Nchi ina halmashaur 168. Matatizo ni mengiBado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote je hii ina maana gani?
Mchengerwa wewe kwa kuwa umeteuliwa hutaki kujichosha maana cheo kipo tu hata ukiendelea kulala,umekuwa na kiburi sio poa?
Kingine tumeomba uhamisho wa kubadilishana imeshindikana je inabidi tuombeni upya tena kupitia mfumo, ebu tutoleeni ufafanuzi ili tujue moja. Haiwezekani maombi yaliyokwisha kufika TAMISEMI yachakatwe kwa mwaka mzima, hizi ni dharau za wazi mnatupuuza kwa kuwa hatuna impact yoyote siyo?
Kama TAMISEMI mna page hapa JamiiForum naombeni ufafanuzi.
Kafanyaje?Yaani mchengerwa nikikuona haki ya Mungu utajuta kunifahamu
Mbona mimi sioni Tatizo lakeKiburi chake kitamponza,tangu awe na uhakika wa uwaziri amekuwa jeuri sana hasikii na mkubwa wala mdogo
Katika Wizara inaendesha mambo yake Ovyo basi ni Tamisemi...Uko ni zaidi ya Jehanam kila kitu kipo ovyo ovyo hadi unajiuliza huyo waziri anafanya nini.Bado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote je hii ina maana gani?
Mchengerwa wewe kwa kuwa umeteuliwa hutaki kujichosha maana cheo kipo tu hata ukiendelea kulala,umekuwa na kiburi sio poa?
Kingine tumeomba uhamisho wa kubadilishana imeshindikana je inabidi tuombeni upya tena kupitia mfumo, ebu tutoleeni ufafanuzi ili tujue moja. Haiwezekani maombi yaliyokwisha kufika TAMISEMI yachakatwe kwa mwaka mzima, hizi ni dharau za wazi mnatupuuza kwa kuwa hatuna impact yoyote siyo?
Kama TAMISEMI mna page hapa JamiiForum naombeni ufafanuzi.
Acha mikwara 😂😂 mchengerwa utakutana nae wapi mkuu ?We huoni amelala,na kama ni wewe nikikukamata utajuta.
Wanasemaje hukoTamisemi katika mwaka imekwama ni huu mwaka ngoja waone
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Fuatilia vizur idadi kubwa ya wanataka kuhama ni kuanzia miaka 35 kushuka chini btw miaka 38 sio MzeeTamisemi inaajiri wazee wa miaka 38 halafu inawapangia vituo ambavyo hawakuomba, matokeo yake wakipata cheki wanahama ili kuungana na familia au biashara zao
Njoo inbox tafadhaliBado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote je hii ina maana gani?
Mchengerwa wewe kwa kuwa umeteuliwa hutaki kujichosha maana cheo kipo tu hata ukiendelea kulala,umekuwa na kiburi sio poa?
Kingine tumeomba uhamisho wa kubadilishana imeshindikana je inabidi tuombeni upya tena kupitia mfumo, ebu tutoleeni ufafanuzi ili tujue moja. Haiwezekani maombi yaliyokwisha kufika TAMISEMI yachakatwe kwa mwaka mzima, hizi ni dharau za wazi mnatupuuza kwa kuwa hatuna impact yoyote siyo?
Kama TAMISEMI mna page hapa JamiiForum naombeni ufafanuzi.