TAMISEMI acheni kiburi

TAMISEMI acheni kiburi

Bado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote je hii ina maana gani?

Mchengerwa wewe kwa kuwa umeteuliwa hutaki kujichosha maana cheo kipo tu hata ukiendelea kulala,umekuwa na kiburi sio poa?

Kingine tumeomba uhamisho wa kubadilishana imeshindikana je inabidi tuombeni upya tena kupitia mfumo, ebu tutoleeni ufafanuzi ili tujue moja. Haiwezekani maombi yaliyokwisha kufika TAMISEMI yachakatwe kwa mwaka mzima, hizi ni dharau za wazi mnatupuuza kwa kuwa hatuna impact yoyote siyo?

Kama TAMISEMI mna page hapa JamiiForum naombeni ufafanuzi.
Tunashughulikia suala lako. Nchi ina halmashaur 168. Matatizo ni mengi
 
Kuna mmoja kasepa Jana na ametumia mwezi mmoja tu....
Na ndo maana yanajivuta ili yaendelee kula hela,namchukia huyu mchengerwa yaani nikionana naye live nakiwasha
 
Tamisemi ni jipu
Alafu samia si huwa anaingia humu?kwa nini asimwambie huyu kiburi wake ayambie yale mazee yatoe majina,yanashinda pale mtumba yamekaa wakati ya rushwa yanatoa,
 
Bado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote je hii ina maana gani?

Mchengerwa wewe kwa kuwa umeteuliwa hutaki kujichosha maana cheo kipo tu hata ukiendelea kulala,umekuwa na kiburi sio poa?

Kingine tumeomba uhamisho wa kubadilishana imeshindikana je inabidi tuombeni upya tena kupitia mfumo, ebu tutoleeni ufafanuzi ili tujue moja. Haiwezekani maombi yaliyokwisha kufika TAMISEMI yachakatwe kwa mwaka mzima, hizi ni dharau za wazi mnatupuuza kwa kuwa hatuna impact yoyote siyo?

Kama TAMISEMI mna page hapa JamiiForum naombeni ufafanuzi.
Katika Wizara inaendesha mambo yake Ovyo basi ni Tamisemi...Uko ni zaidi ya Jehanam kila kitu kipo ovyo ovyo hadi unajiuliza huyo waziri anafanya nini.
 
Acha mikwara mchengerwa utakutana nae wapi mkuu ?
Kama tu uhamisho wa kubadilishana unakuliza hivi ?
Nitakutana naye tu kuna ziara naisikilizia,huo huo uhamisho utamfanya ajutie nafasi yake.
 
Katika Wizara inaendesha mambo yake Ovyo basi ni Tamisemi...Uko ni zaidi ya Jehanam kila kitu kipo ovyo ovyo hadi unajiuliza huyo waziri anafanya nini.
Waziri mtoto pendwa akivurunda hapa anahamishiwa kwingine
 
Tamisemi inaajiri wazee wa miaka 38 halafu inawapangia vituo ambavyo hawakuomba, matokeo yake wakipata cheki wanahama ili kuungana na familia au biashara zao
Fuatilia vizur idadi kubwa ya wanataka kuhama ni kuanzia miaka 35 kushuka chini btw miaka 38 sio Mzee
 
Bado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote je hii ina maana gani?

Mchengerwa wewe kwa kuwa umeteuliwa hutaki kujichosha maana cheo kipo tu hata ukiendelea kulala,umekuwa na kiburi sio poa?

Kingine tumeomba uhamisho wa kubadilishana imeshindikana je inabidi tuombeni upya tena kupitia mfumo, ebu tutoleeni ufafanuzi ili tujue moja. Haiwezekani maombi yaliyokwisha kufika TAMISEMI yachakatwe kwa mwaka mzima, hizi ni dharau za wazi mnatupuuza kwa kuwa hatuna impact yoyote siyo?

Kama TAMISEMI mna page hapa JamiiForum naombeni ufafanuzi.
Njoo inbox tafadhali
 
Back
Top Bottom