"Msitufanyie hivo sisi ndio tuliowasaidia mkawa mlivo na mkafika mlipo" Ni maneno ya Elena Ceausescu kwa asikari Wa Romania waliokuwa wamewatia nguvuni yeye na mmewe tayari kwenda kuwanyonga. Mumewe alikuwa anaitwa Nicolae Ceausescu nuru iliyo shuka duniani tr.26 January 1918 akiwa mmoja Wa...
Historia ni mwalimu mzuri kweli. Kiongozi yoyote aliyesoma historia ni rahisi sana kuongoza.
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ndicho chama kinachofuatia kwa kuwa na wafuasi wengi na ushawishi baada ya Chama tawala (CCM). Watanzania wengi wameweka tumaini lao katika chama...
CHANZO CHA VIFO VYA USINGIZINI.
Waslaam wanajf kisima cha maarifa.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Watu Wengi Sana tumekuwa tukijiuliza kwanini mtu analala usiku halafu asubuhi watu wanashudia amefariki?. Au alilala mchana halafu akafia usingizini? Kwanini mtu anafia usingizini? Kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.