Recent content by Vitalis Kitime

  1. V

    Msaada kwa mwenye ufahamu juu ya ufungaji wa dish la startimes

    Kama upo dar tuwasiliane 0653 506666 nije nikufungie
  2. V

    Simbachawene: Watendaji jiji Dar ondoa machinga katikati ya jiji, Rais aliruhusu machinga wa Mwanza

    Mwenye audio ya rais alipokuwa Lumumba atusaidie hapa tuondoe utata
  3. V

    Mheshimiwa Rais Magufuli Mpe Ukuu wilaya Kibwana Dachi

    Huyu Jamaa Kibwana Dachi na wenzake wamepoteza sifa ya kipindi chao cha KUPAKA RANGI kimekosa mvuto kabisa tofauti na siku za nyuma kisa wanatafuta ajira kwa JMP hahahaaaa!!!!!!! mambo ya tonge hayo
  4. V

    Kauli moja tu ya Magufuli ilivyowachanganya CHADEMA!

    Je kauli ya dictetor ushwara iliyowachanganya serikali
  5. V

    Msaada: Vidonda vya tumbo vinasababishwa na msongo wa mawazo?

    Naomba kujua kitaalamu ni vipi vidonda msongo wa mawazo unasababisha vidonda vya tumbo?
  6. V

    Laboratory science and technology

    tuwasiliane kwa 0653 506666
  7. V

    Laboratory science and technology

    Must wapo vizur mwenyewe nimesoma hapo
  8. V

    Laboratory science and technology

    Hiyo course ni nzuri sana unaweza fanya kazi kwenye maabara yoyote inayohusiana na sayansi kama TBS,TFDA,Mkemia n.k
  9. V

    Jaribuni kuwa waelewa jamani, G.P.A ya 3.5 ni ya wanaotaka kwenda vyuo vikuu

    TCU wamesema kwamba maombi yote ya kujiunga na elimu ya juu(degree) na n.k yatumwe kwenda kwao na si vinginevyo sasa hiyo NACTE inatokea wapi nyie kwanini mnapindisha ukweli?
Back
Top Bottom