Huyu Jamaa Kibwana Dachi na wenzake wamepoteza sifa ya kipindi chao cha KUPAKA RANGI kimekosa mvuto kabisa tofauti na siku za nyuma kisa wanatafuta ajira kwa JMP hahahaaaa!!!!!!! mambo ya tonge hayo
TCU wamesema kwamba maombi yote ya kujiunga na elimu ya juu(degree) na n.k yatumwe kwenda kwao na si vinginevyo sasa hiyo NACTE inatokea wapi nyie kwanini mnapindisha ukweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.