Ilikuwepo lakini haikuonyesha mafanikio babu MAJI MAJI WAR wazee wetu walipotea sana kwa kuamini hizi mambo! Sasa kama mtu unaamini kidono kwanini usimwamini na Mungu?
Mnapenda vya bwerere eeeh! Maisha si kukomoana!
Hapo si ajabu mngejitoa wenyewe mngekunywa Pisner Ice au Balimi mtoto wa watu mkataka kunyonyoa kama kuku wa Christmas!
Don't generalize bwana watu na familia zetu! kama umemega wengi kwa gia ya kuwaoa kimpango wako! Kwanza muoaji hawazi Ugoro, panado wala habbat soda izo
Yap maana nlijaribu kutaka kuagiza nikaambiwa wana agent wao huku! Nlichonote lbda uwe na mtu kule anunue na kutuma lakini wao baadhi hawatumi wanakuconnect na agent wao wa huku
Wengine wana makusudi anaona gari imejaa hadi mlangoni, na ana mtoto au mjamzito anaingia hvyo hvyo anajua watampisha! Kupishwa si wajibu halafu tumezaliwa tofauti kila mtu ana hila zake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.