Tanzania kipindi cha nyuma tulikuwa tunapambanishwa na nchi kama Ethiopia, Algeria, Misri nk, sio Kenya, Uganda, eti na Rwanda jamani!!!. Na hii inatokana na kuzidi kwa utawala mbovu ambapo ni chanzo cha kuingiza siasa Jeshini. Mafisadi yanapo tafuta kukubalika Jeshini kwa ajili ya usalama wao...
Peleka hofu zako hukooo wewe!. Kwani majukumu ya kiusalama si ya serikali ambayo inavyombo vyote vya kiusalama?!. Sasa mambo ya panya road takribani miezi mitatu au zaidi wewe uoni kuwa ni udhaifu huu. Tofauti na nchi nyingine, TZ ni nchi yenye amani, ni rahisi mno kudhibiti kikundi cha kishenzi...
Kova, acha siasa, fanya kazi. Siku hizi umepoteza imani kwa watu wengi. Kama Kibonde yamemkuta eti anyamaze kisa anakuogopa wewe, utaonekana hufanyi kazi, au?. Wewe Kamanda vipi?!!, muoneni huyu!!!!!!....
Pamoja na uchambuzi wooote huo, jambo la wazi ni kuwa US ndio nuksi katika mgogoro huu. US ndio inampa nguvu Kagame kuvuruga Congo. Ni hivi,, Kagame ashukuru Mungu, Mkuu anaachia ngazi, angekoma!. Kama fitna basi pale amefika, kama hujuma ndio penyewe, kama tabasamu basi pale lipo la kumwaga na...
Kwani wanaolalamika kwenye media zao si wao kigali!. Kwenye kukalibisha mwaka mpya 2015, Rais wa Tanzania kasema, "hakuna nchi tulio na uhasama nayo wala tunayo itilia mashaka". Sasa masuhala ya kunyimwa usingizi yanatoka wapi hapo!!.
Korea ya Kaskazini ilishawai kusema Ebola ni siraha ya kibaiolojia kwa malengo maalumu. Kinacho tokea Africa Magharibi ni majalibio tu. Sasa naanza kuwaza kuwa labda hiyo ni moja ya malengo!.
Profesa Muhongo ni waovyo kabisaa. Kiongozi wa Umma unakuwa na dharau kwa unaowaongoza!!. Hata kama unawadharau basi si uache kichwani, sasa kwanini uilete mdomoni kama kichaa!!. Huu uprofesa ni waajabu aisee!!. Ptuuuu!.
Kwahiyo wasiwasi wenu nyinyi mafisadi ni kuwa, Mengi ndio anawashughulikia?!!. Lakini si kweli mmeiba sasa nini!!. Na nyinyi kama mnamadai yenye mashiko kwa Taifa, tafuteni documents za ushaidi mlipueni. Minyoos nyinyi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.