Recent content by VITA VYA KAGERA

  1. VITA VYA KAGERA

    Kijo Bisimba ni nani??

    Mafisadi yapo vitani!!.
  2. VITA VYA KAGERA

    Facts: 16 most powerful militaries in Africa

    Tanzania kipindi cha nyuma tulikuwa tunapambanishwa na nchi kama Ethiopia, Algeria, Misri nk, sio Kenya, Uganda, eti na Rwanda jamani!!!. Na hii inatokana na kuzidi kwa utawala mbovu ambapo ni chanzo cha kuingiza siasa Jeshini. Mafisadi yanapo tafuta kukubalika Jeshini kwa ajili ya usalama wao...
  3. VITA VYA KAGERA

    Panya road 501 mbaroni, Kibonde amchukiza Kamanda Kova

    Peleka hofu zako hukooo wewe!. Kwani majukumu ya kiusalama si ya serikali ambayo inavyombo vyote vya kiusalama?!. Sasa mambo ya panya road takribani miezi mitatu au zaidi wewe uoni kuwa ni udhaifu huu. Tofauti na nchi nyingine, TZ ni nchi yenye amani, ni rahisi mno kudhibiti kikundi cha kishenzi...
  4. VITA VYA KAGERA

    Panya road 501 mbaroni, Kibonde amchukiza Kamanda Kova

    Nawewe Kibonde acha ubwege kufagilia magamba!. Ndio ufahamu sasa sisiemu wamekwisha, ovyo kabisaa, hawana ishu tena, cheki wanavyoshindwa kutunza usalama kwa raia ukiwemo na wewe. Wanashindwa kumwajibisha Kamanda matokeo yake unaonekana wewe muongo!!. Badilika sasa, acha mazoea, hata sisi...
  5. VITA VYA KAGERA

    Panya road 501 mbaroni, Kibonde amchukiza Kamanda Kova

    Kova, acha siasa, fanya kazi. Siku hizi umepoteza imani kwa watu wengi. Kama Kibonde yamemkuta eti anyamaze kisa anakuogopa wewe, utaonekana hufanyi kazi, au?. Wewe Kamanda vipi?!!, muoneni huyu!!!!!!....
  6. VITA VYA KAGERA

    FDLR disarmament, cacophony of local actors and enduring UN failure to facilitate peace in Great Lak

    Pamoja na uchambuzi wooote huo, jambo la wazi ni kuwa US ndio nuksi katika mgogoro huu. US ndio inampa nguvu Kagame kuvuruga Congo. Ni hivi,, Kagame ashukuru Mungu, Mkuu anaachia ngazi, angekoma!. Kama fitna basi pale amefika, kama hujuma ndio penyewe, kama tabasamu basi pale lipo la kumwaga na...
  7. VITA VYA KAGERA

    Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR

    Kwani wanaolalamika kwenye media zao si wao kigali!. Kwenye kukalibisha mwaka mpya 2015, Rais wa Tanzania kasema, "hakuna nchi tulio na uhasama nayo wala tunayo itilia mashaka". Sasa masuhala ya kunyimwa usingizi yanatoka wapi hapo!!.
  8. VITA VYA KAGERA

    Mgombea urais asiyetabirika kutoka upinzani!!

    Anafaa, akigombea nitampigia kura.
  9. VITA VYA KAGERA

    Hatimae Dudubaya na Mr.Nice wamaliza beef

    Nawapongeza sana. Mwaka mpya na mambo mapya.
  10. VITA VYA KAGERA

    EBOLA yawakuta ISIS, wengi wanatafuta usaidizi

    Korea ya Kaskazini ilishawai kusema Ebola ni siraha ya kibaiolojia kwa malengo maalumu. Kinacho tokea Africa Magharibi ni majalibio tu. Sasa naanza kuwaza kuwa labda hiyo ni moja ya malengo!.
  11. VITA VYA KAGERA

    Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

    Profesa Muhongo ni waovyo kabisaa. Kiongozi wa Umma unakuwa na dharau kwa unaowaongoza!!. Hata kama unawadharau basi si uache kichwani, sasa kwanini uilete mdomoni kama kichaa!!. Huu uprofesa ni waajabu aisee!!. Ptuuuu!.
  12. VITA VYA KAGERA

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Kwahiyo wasiwasi wenu nyinyi mafisadi ni kuwa, Mengi ndio anawashughulikia?!!. Lakini si kweli mmeiba sasa nini!!. Na nyinyi kama mnamadai yenye mashiko kwa Taifa, tafuteni documents za ushaidi mlipueni. Minyoos nyinyi.
  13. VITA VYA KAGERA

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Litakuwa limeongwa na majizi ya Taifa hili, she.nzi kabisaa.
Back
Top Bottom