Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR

Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR

Halafu hadi sasa huwa sipati picha jinsi kainchi kadogo kama Rwanda huwa kamelinyima usingizi jitu kama Tanzania, kila uchao hamkomi kuhangaika na taarifa za Rwanda. Yaani Kagame amekua kiboko kweli.
we mkenya hujitambui,nchi yenu inasumbuliwa na wale wavaa misuli wasio hata na kombati,how dare you disrespect tanzania military-wise!
 
we mkenya hujitambui,nchi yenu inasumbuliwa na wale wavaa misuli wasio hata na kombati,how dare you disrespect tanzania military-wise!

Si yy pekee,90% ya wakenya hawajitambui,kudandia vya watu,kujipendekeza kwa watu weupe,ubinafsi, wenyewe kwa wenyewe kubaguana hasa wakikuyu na na wakamba,kujua kila kitu,kila kizuri kiko kwao!
 
Halafu hadi sasa huwa sipati picha jinsi kainchi kadogo kama Rwanda huwa kamelinyima usingizi jitu kama Tanzania, kila uchao hamkomi kuhangaika na taarifa za Rwanda. Yaani Kagame amekua kiboko kweli.

Kwani wanaolalamika kwenye media zao si wao kigali!. Kwenye kukalibisha mwaka mpya 2015, Rais wa Tanzania kasema, "hakuna nchi tulio na uhasama nayo wala tunayo itilia mashaka". Sasa masuhala ya kunyimwa usingizi yanatoka wapi hapo!!.
 
Kwani wanaolalamika kwenye media zao si wao kigali!. Kwenye kukalibisha mwaka mpya 2015, Rais wa Tanzania kasema, "hakuna nchi tulio na uhasama nayo wala tunayo itilia mashaka". Sasa masuhala ya kunyimwa usingizi yanatoka wapi hapo!!.
Duh! kweli kazi ipo, we mtanzania wa wapi ambaye unadanganyika na speech za Professor Ndumila? watanzania wenzako wakimsikia anaanza utapeli na undumilakuwili wake na Radio wanazima kabsaa, hebu nikuulize, kwa hiyo wale viongozi wa FDLR wanaokuja Dar kila kukicha na kupokelewa na viongozi wa serikali ya Tanzania, wanakuwa wamekuja kula idi au picnic?
 
Gharama ya vita vya Somalia hatujaanza kulipa juzi, kwa miaka hiyo yote 20 tumeumia sana na inaeleweka
- Sie ndio tunao mpaka mrefu zaidi na hawa jamaa. Hawana uwezo wa kuenda kuvamia Burundi maana ni mbali.
- Nchi yetu ndipo walipo wengi, wazawa wapo laki tisa, 900,000 halafu wengi wamekuja kama wakimbizi.
- Hii imefanya rahisi kwa alshabaab kujificha ndani ya nchi baada ya wao kushindwa kupigana kijeshi.
- Na tutakomaa nao hadi hatima yake.

Hilo la kwamba SADC haiwezi pigika unalijua wewe na mahali ulipo nyuma ya computer yako, lakini ikifika mizinga ianze kuruka hewani, basi hapo ndio ngoma itafahamika.

FDLR wamekaa kuwahangaisha Wakongo na kila wakiongeleshwa wanadai Kagame atawanyonga wakirudi, wakubali kuweka silaha chini suluhisho la amani chini ya uongozi wa UN lipatikane.

Hamna jeshi Kenya .... hakuna tofauti kati ya jeshi la Kenya na Nigeria. Those are among of the weakest majeshi in Africa. A Criteria Of internal defence is very fundamental. Huwezi ukawa unapigwa NDANI ya mipaka ya nchi yako mara nyingi tu halafu unajisifu unajisifu una jeshi. Dat is bulshit. Wait for up coming world militia watch report... you'll see where you belong.


Kuhusu kupakana na somalia, dat is a very fake and stupid excuse. Kila siku tunawaambia nendeni kwa Ethiopia mkajifunze namna ya kuwakabili Hao al shabab. kule wasomali ni wengi na wengi ni RAIA wa huko... lakini wa hali imedhibitiwA.
 
Halafu hadi sasa huwa sipati picha jinsi kainchi kadogo kama Rwanda huwa kamelinyima usingizi jitu kama Tanzania, kila uchao hamkomi kuhangaika na taarifa za Rwanda. Yaani Kagame amekua kiboko kweli.

..Kagame amefungulia "jeshi" lake la wanahabari kuchafua sifa nzuri ya Tanzania kimataifa.

..kuituhumu Tanzania kwamba inashirikiana na wauwaji wa kimbari ni jambo kubwa ambalo wa-Tanzania lazima tulipinge.

..ili kumuunganisha Kikwete na FDLR, waandishi wa habari wa Kagame wamezua habari za uongo dhidi ya mke wa Raisi Kikwete wakidai kwamba mama huyu ni Mhutu. Inaeleweka kwamba Mama Salma Kikwete kabila lake ni kutokea Southern Tanzania.

..kwa hiyo, unaweza kuona kwamba ni jambo dogo, lakini siyo hivyo. Heshima ya taifa lolote lile kitaifa na kimataifa siyo jambo la kuachwa iharibiwe kwa propaganda za hovyo-hovyo kama inavyofanyika sasa hivi.
 
..Kagame amefungulia "jeshi" lake la wanahabari kuchafua sifa nzuri ya Tanzania kimataifa.

..kuituhumu Tanzania kwamba inashirikiana na wauwaji wa kimbari ni jambo kubwa ambalo wa-Tanzania lazima tulipinge.

..ili kumuunganisha Kikwete na FDLR, waandishi wa habari wa Kagame wamezua habari za uongo dhidi ya mke wa Raisi Kikwete wakidai kwamba mama huyu ni Mhutu. Inaeleweka kwamba Mama Salma Kikwete kabila lake ni kutokea Southern Tanzania.

..kwa hiyo, unaweza kuona kwamba ni jambo dogo, lakini siyo hivyo. Heshima ya taifa lolote lile kitaifa na kimataifa siyo jambo la kuachwa iharibiwe kwa propaganda za hovyo-hovyo kama inavyofanyika sasa hivi.

Lakini si nyie ndio mnawaita hao genocides FDLR kuwa freedom fighters, hebu ona hii taarifa hapa Tanzania Today - Tanzania, Business , Jobs in Tanzania, News, Business Directory, Real Estate, Finance, Auto
Kwa mtazamo wangu binafsi, ni muhimu sasa hawa jamaa kuweka silaha chini na kukubali kuungana na Warwanda wenzao bila masharti.
 
Nivema wangeanza na m13 na vikundi vya waasi wa ndani ya DRC kwa waasi wa FDRL kuwapiga sio dawa ni kuwa weka meza moja na Rais kagame warudi kwao kwa amani nahofu ikiwa FDRL wakiungwa mkono na waasi wengine wa DRC hali inaweza kuwa mbaya zaidi kuliko kutafuta muafaka wa mazungumzo
 
Lakini si nyie ndio mnawaita hao genocides FDLR kuwa freedom fighters, hebu ona hii taarifa hapa Tanzania Today - Tanzania, Business , Jobs in Tanzania, News, Business Directory, Real Estate, Finance, Auto
Kwa mtazamo wangu binafsi, ni muhimu sasa hawa jamaa kuweka silaha chini na kukubali kuungana na Warwanda wenzao bila masharti.

Wakiweka silaha chini.... Halafu PaKa akawafanye asusa... that is a very win loose deal. PaKa anakataa kujongeleana nao mezani ili watete. Ila yeye ANATAKA awape masharti tu. That is quite unjust.
 
Lakini si nyie ndio mnawaita hao genocides FDLR kuwa freedom fighters, hebu ona hii taarifa hapa Tanzania Today - Tanzania, Business , Jobs in Tanzania, News, Business Directory, Real Estate, Finance, Auto
Kwa mtazamo wangu binafsi, ni muhimu sasa hawa jamaa kuweka silaha chini na kukubali kuungana na Warwanda wenzao bila masharti.

..I would say that was a "gaffe", but is OK if some ppl run with it.

..sasa tunachotakiwa kujiuliza ni, what are the facts on the ground?

..mbona mchango wa Tanzania kijeshi na kutekeleza maamuzi ya SADC + ICGLR haiwi-amplified kama hizo habari za "Uhutu" wa Mama Salma Kikwete?
 
Back
Top Bottom