Mimi hata sijui kosa lilikua nini au nilikosea wapi.Nilikua na huyu mtu miaka ya kutosha mara nikaona kimya nikiuliza najibiwa shoti shoti mara nasikia jamaa anaoa aisee imenidistab sana mpaka leo.Hii dunia hamna jema sijawahi kucheat wala kuomba hela sijawahi kumsumbua yaani sijui kama nitakua...
Haupigwi hovyo hovyo. Unapigwa saa moja kamili kabla ya taarifa ya habari kwa kweli unajenga uzalendo sana hio mida hua niko na mtoto wangu alikua hajui kuiimba lakini sasa hivi anaujua vizuri. Mleta uzi jaribu kwa angle nyingine hii hapana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.