papaa musofe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 842
- 1,475
SaTatizo la Sheikh Mkuu wa mkoa ni njaa kali, kipindi cha nyuma kazi yake ilikuwa ni kuzunguka maofisi ya serikali kupiga mizinga ili apate kuishi sasa kapata pa kuponea kazi yake kubwa ni kupooza majanga anayofanya Bashite maliyamungu
Sasa hivi atakuwa anapiga makombora ya nyuklia,sio Mizinga tenaTatizo la Sheikh Mkuu wa mkoa ni njaa kali, kipindi cha nyuma kazi yake ilikuwa ni kuzunguka maofisi ya serikali kupiga mizinga ili apate kuishi sasa kapata pa kuponea kazi yake kubwa ni kupooza majanga anayofanya Bashite maliyamungu