So wapumbavu ni kama wale wanaokaa siku nzima JF kuongelea kuhusu matatu ni safer than DART alafu wanataka waonekane wana akili? Mtoto wangu ako miaka 4 ila kako na common sense kukuzidi.
Natamani ningezaliwa Tanzania taifa ambalo lina historia kubwa taifa ambalo ni ndoto ya wengi wetu kuishi...
Zamani kwa akili zangu za kitoto niliamini kujua kingereza ni mojawapo ya dalili kua una uwezo mkubwa wa akili. Ila nikiwa mdogo hivyo hivyo nilikuja kugundua kua hata England kuna machizi na wagonjwa wa akili wanaoongea kingereza vizuri kuzidi Lecturer wangu ila ni wagonjwa wa akili.
Tafadhali...
Sikuwahi hata kua na hisia na yule dada naamini na yeye ni hivyo hivyo.. na ninadhani ndio rafiki yangu pekee wakike nilie wahi kumchukulia kama ndugu yangu kuzidi mtu mwingine maana kwa kipindi hiko tulikua watu bwa bata jingi na hata kulewa pamoja ila hatukuwahi hata kushikana kinamahaba au...
Yesu hakuwa mweupe.. Utasamehewa kwa kufikiria vinginevyo kutokana na yale tunayolishwa na kukaririshwa kwenye makanisa yetu tokea utotoni. Na kwenye bibilia hakuna maelezo ya kimwili (physical description) yanayoelezea rangi yake na vitu kama hivyo, hakuna shaka pia kwamba Yesu wa kihistoria...
Hahaaa hii imenikumbusha kipindi niko chuo. Nilikua naonekana mtoto wa chuo hata nikiwa 2nd year bado nilikua naonekana mimi ndio mtoto
So hii ilinifanya nifahamike na wengi na hata kua na marafiki wengi sana. Kuna mdada mmoja alikua mchubby flani hivi alitokea kunipenda sana ile ya kirafiki na...
Jambo la kwanza na kubwa kabisa betting is addictive very addictive hutaamini itakavyo kukamata na kuingia kwenye mishipa ya damu yaani kuna wakati kukaa bila kua na ka mkeka unakokasubiria ka tick ✅ basi unahisi kama kuna kitu hakiko sawa hivi.
Jambo lingine ni kwamba utakua na matumizi yasio...
Brother sijui kama nimeelewa point yako vizuri ila kaka sikukuu sio ya watu wenye hela tu kaka
Mimi kwenye kukua kwangu nili experience pande mbili za maisha.. kwa wazazi wangu familia zao kuna mmoja kwao zipo sana na mmoja kwao hazipo
Sasa labda nikuambia kwa upande ambao hazipo.. nilishawahi...
Nakumbuka zamani Christmas ilikua sikukuu kubwa kuliko hata mwaka mpya kwa familia yangu.. ilikua inasherehekewa kwa namna ya kipekee sana kwanza Christmas ilikua ni lazima siku hio mvua inyeshe so inakua na theme ya ubaridi mvua na matope. Lakini sidhani kama hio kitu bado ipo.
Zamani...
Kaka sijui kama umsomaji mzuri wa bibilia ila kuna visa vingi kutoka kwa jamii ya walioamini ambao walioa binamu zao. Mfano mzuri ni yakobo alieoa binamu zake wawili.. na tusisahau Yakobo ndio aliitwa Israel na uzao wake ndio uzao hata Kristo anapokuja kutokea..
Ila hio ni kiimani.. zaidi haya...
Hii imetokea Nigeria.
Mlinzi wa bank alipata ujasiri na kumfikia Meneja wa Benki.
Na kwa ujasiri akamwambia kwamba yeye ni mhitimu na angependa kushiriki katika "Aptitude test" kwa nafasi iliyo wazi.
Boss alikuwa mkarimu sana na akamruhusu kushiriki mtihani.
Kwa kuwa, lilikuwa jaribio la...
Na Yakobo alioa binamu zake tena wawili Leah na Rachel watoto wa mjomba yake aliekua anaitwa Laban. Ila kaka ishu zaidi hapa ni wazazi jamii na mila nadhani 😢
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.