Recent content by Villarreal 1

  1. V

    Simuelewi Baba Mkwe wangu

    Tafuta hela , Endelea na mambo Yako, Ukipata Hela ipo Siku Atakuelewa.
  2. V

    "Divine Rule Rights and Despotic Rule" in Europe

    Kuanzia Karne ya 16 , 17 nakuendelea palitokea Wimbi la kutaka Mabadiliko na kupinga Utawala wa Kifalume, Ulioamini kwamba Watawala na Wafalume Ni Mungu Watu. Hivyo Wenzetu Hawa Wakaandamana ka kupinga kwa Vitendo Umungu Watu Huu. Walifanya Mapinduzi Mfano , waingereza walifanya , English Civil...
  3. V

    Tujengane Kiuchumi

    So Utamsaidiaje ?
  4. V

    Tujengane Kiuchumi

    Dah Mwanajamiii , Sio Wanawake Wote Wepesi Kama Unavyofikiri wewe Wapo Wanawake Wanajitambua na Hawapendi vitu Vya Bure, Hakika Nakuambia Kama Hujawahi kuktana naye Endelea Kuomba kwa Mungu.
  5. V

    Tujengane Kiuchumi

    Mkuu , Kubwa Hapa Mtu Anayepitia kipindi Kama hiki anasaidiwaje? Lengo SI kumjadili mtu Bali mtu mwenye Tabia hizo anasaidiwaje? Hana Elimu, kuwa Ataajiriwa, Hana lolote Zaid ya Afya njema na Uwezo wa Kupambana
  6. V

    Tujengane Kiuchumi

    Habari Wanajamii.Hongereni Kwa Kumaliza Mwaka Salama 2021, Na Pia Nawatakia Mafanikio, Amani, Furaha , Na Afya Njema Katika Mwaka Huu Mpya 2022. Binafsi Namshukuru Mungu Sana Kwani Kuna Wengi Walitamani Kuona Mwaka Mpya Huu lakini Hawakuweza kutokana na Sababu Mbalimbali, Wapo Waliopata Ajali...
  7. V

    Ex-wife kaolewa lakini ananifatilia sana

    Kaaa Kimya Kabisa , pale Unapohitajika Kufanya Wajibu kwa Mtoto Fanya, Watu wenye maneno Kama hao huwa Wanarudi.
  8. V

    Tusiime Holdings (T) Limited inapaswa ichunguzwe na Tume Huru

    Ili Yaliyoko Nyuma Ya Pazia Yajulikane Kuna Channel Nyingi za Kufuata Wengine lazima Mwende CAM, Wengine Mfuate Mrengo Wa Utawala Hadi File Lifike Kwa Mkuu wa Kaya.
  9. V

    Tusiime Holdings (T) Limited inapaswa ichunguzwe na Tume Huru

    Hii Sio Hoja ya Mtu Mmoja Ni Hoja Ya Jamii Nzima , Kama Wanajamii lazima Kuibuliwa kwa Masilahi Mapana Kabisa ya Taifa , Unajiita Kurutu Wa Mungu lakini Unabadilisha Hoja kuwa ya Kibnafsi
  10. V

    Shule binafsi kulazimisha darasa la 4&7 kulala bweni

    Kigezo Kinachotumika Hapo Utasikia Ni Kwasababu Ni Madarasa Ya Mtihani , Kwa Mtoto Wa Darasa la Nne , Sasa si Waamue Kabisa iwe Shule Ya Bweni, Utakuta Watoto Wanapelekwa na Bodaboda Asubuhi na Mapema ili tu Kuwahi huo Utaratibu na Je wanaenda Kufanya Nini Kwamba Kweli mda Wa kawaida kuanzia Saa...
  11. V

    Tusiime Holdings (T) Limited inapaswa ichunguzwe na Tume Huru

    Corona Corona Imesababisha Mshahara Ukosekana Wakati Ada imelipwa, huu Ni Uonevu Wa Utu Wa Mtu, na Maisha yake, Lakini Hakuna Mtu Aliyecheza na Waalimu akawa Salama, Ipo Siku Duniani Humu yote Yana mwisho na Uonevu Una Mwisho. Unashindwana na Waalimu Ambao Unaweza Usiwalipe Hata Mshahara na...
  12. V

    Shule za Tusiime na athari za Corona

    Kwa Mtu Yeyote Anayetumia Maarifa Kidogo tu Hawezi Kuamini Hoja Nyepesi Za Eti Tusiime Wamekosa Kulipa Mishahara ya Waalimu Kwasababu Ya Corona .Wakati Wazazi Tulishalipa Ada , Wanatumia Majina Ya Wazazi Fake Kuaminisha Watu Eti Kuna Wazazi/Wanafunzi Hawajalipa Ada. Alafu jiulize Jambo Moja...
Back
Top Bottom