Villarreal 1
Member
- Dec 21, 2020
- 12
- 20
Habari Wanajamii.Hongereni Kwa Kumaliza Mwaka Salama 2021, Na Pia Nawatakia Mafanikio, Amani, Furaha , Na Afya Njema Katika Mwaka Huu Mpya 2022.
Binafsi Namshukuru Mungu Sana Kwani Kuna Wengi Walitamani Kuona Mwaka Mpya Huu lakini Hawakuweza kutokana na Sababu Mbalimbali, Wapo Waliopata Ajali, Wapo waliotutoka kwa Magonjwa Mbalimbali, Lakini Hadi Naandika Ujumbe Huu Wako Ambao wamelala Kitandani wanageuzwa hawajiwezi ni wa kugeuzwa tu hawajitambui.
Hivyo Wana Jamiii tuna Kila Sababu ya Kumshukuru Mungu Kwani hii Ni Neema TU Mungu Katupendelea.
Haijalishi Unapitia Changamoto gani Mshukuru Mungu.
Kuna Jambo Nataka nililete Mbele Yenu Wana Jamiii , Tulichanganue kwa kina kwa Ufanisi , Utashi , mifano na Kadri tunavyoweza tuache Utani Kwani Kuna Wanajamii wanafaidika na Michango yetu.
Ni Hivi Unawezaje Kumsaidia Mtu ambaye anataka Kujiajiri Ili Hali Hana chochote Cha kuanzia, mfano hana wazo, Hana Mtaji , Hana Elimu, Hana Marafiki wa Faaida N.k,
pekee alichonacho ni Afya njema na Matumaini ya kusonga Mbele kwa Ushindi.
pamoja na Changamoto Hizi Zote zinazompata Mwanajamii huyu Bado Ana Familia inayomtegemea.
Huu Ni Mwanzo wa Mwaka tunamsaidiaje Mtu huyu.
Kumbuka Ushauri Wako waweza kumtoa mtu Mahali Fulani na kumpeleka Mbele zaidi.
Tupeane Maarifa, Uzoefu, ujuzi na Ushuhuda.
kazi kwenu .
Binafsi Namshukuru Mungu Sana Kwani Kuna Wengi Walitamani Kuona Mwaka Mpya Huu lakini Hawakuweza kutokana na Sababu Mbalimbali, Wapo Waliopata Ajali, Wapo waliotutoka kwa Magonjwa Mbalimbali, Lakini Hadi Naandika Ujumbe Huu Wako Ambao wamelala Kitandani wanageuzwa hawajiwezi ni wa kugeuzwa tu hawajitambui.
Hivyo Wana Jamiii tuna Kila Sababu ya Kumshukuru Mungu Kwani hii Ni Neema TU Mungu Katupendelea.
Haijalishi Unapitia Changamoto gani Mshukuru Mungu.
Kuna Jambo Nataka nililete Mbele Yenu Wana Jamiii , Tulichanganue kwa kina kwa Ufanisi , Utashi , mifano na Kadri tunavyoweza tuache Utani Kwani Kuna Wanajamii wanafaidika na Michango yetu.
Ni Hivi Unawezaje Kumsaidia Mtu ambaye anataka Kujiajiri Ili Hali Hana chochote Cha kuanzia, mfano hana wazo, Hana Mtaji , Hana Elimu, Hana Marafiki wa Faaida N.k,
pekee alichonacho ni Afya njema na Matumaini ya kusonga Mbele kwa Ushindi.
pamoja na Changamoto Hizi Zote zinazompata Mwanajamii huyu Bado Ana Familia inayomtegemea.
Huu Ni Mwanzo wa Mwaka tunamsaidiaje Mtu huyu.
Kumbuka Ushauri Wako waweza kumtoa mtu Mahali Fulani na kumpeleka Mbele zaidi.
Tupeane Maarifa, Uzoefu, ujuzi na Ushuhuda.
kazi kwenu .