wanajamvi habarini, mm ni msichana niliemaliza bachelor of arts in public relations and marketing natafuta kazi yeyote ya uhalali ht km ni hotel kubwa as a receptionist nipo tyr kuliko kuendelea kukaa bure nyumbani, its serious jamani nipo mwanza ilemela
lakini kumbuka sio kila mwanamke mzuri ni type yako, vingine vya wakubwa jmn....labda zinakuwaga sio akili zao wanapotongoza kwa sbb wapo wanapsukumwa kutongoza na ujasiri wa viroba, bhangi na pombe
mh...jmn mpe pole na hongera kwa kupima ni kitendo cha ujasiri! usimuache jrb kufikiria km hiyo hali ungekuwa nayo wewe?kuwa nae karibu ht kwa kumpa moyo na upunguze kuwa unaongelea sana hrb za HIv/Aids mbele yake
hayo ndiyo mambo ya mapenzi, ni vzr kukubaliana na ukweli coz uwezi kuumia milele, ipo siku utasaha n life will move on, wanaume washenzi sana......mwambie ukweli dada wa watu achape lapa but wat goes around comes around
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.