CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Jamani tushauriane namna ya kuwafanya wapenzi wetu kurudi kuwa kama zamani....wakati mwingine sababisho tunakuwa nalo sisi ila kwa sababu ni wanaume tunakimbilia short cut za kuwadampo na kuchukua wengine....Nashauri tutafute mbinu na akili za kuondoa makwaruzano ktk mahusiano yetu na siyo kukimbiana au kukimbizana kwani hii siyo njia stahiki hata kidogo na tufikiri kama watendwa pia.
Umesema kweli mkuu, mara nyingi wanaume ni wagumu sana kusahihisha na kurekebisha mapungufu yao yanayopelekea mwanamke kufanya asiyoyapenda. Badala ya kukaa chini na kujiuliza kipi kifanyike ili makosa haya yasiendelee kutokea wao wanatafuta njia mbadala ya kuwa na mpenzi mwengine. mambo haya hutokea sana kwa wanandoa, wakikorofishana haoooo wanatafuta wapenzi wa nje. Mwoshi wa siku wanaambulia talaka na aibu.
VUNJA UKIMYA SEMA NAYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!