Mimi ninachojua Delmitation treaty ya :1886 ilitambua kuwa maeneo ya pwani yote usawa wa maili 10 kuelekea bara kuanzia Tanga mpaka kaskazini ya mto Ruvuma ni ikiwepo DSM ni mali ya sultan wa Zanzibar. Mjerumani aliruhuhusiwa kuwa na whalehouse(godown)pale bandari ya DSM. Mkataba wa Heligoland...
usilaumu, ni njia nzuri ya kuwasilisha ujumbe kuonesha jinsi matotonya yanavyofanywa huko bungeni ilhali kodi zetu zinateketea. Ni uzalendo wa hali ya juu.
Kazi ipo. Colonial mentality. Kuna kipindi walisema Mrema hajui kiingereza matokeo yake akaamua kuhutubia mkutano kwa kiingereza. Kuna kiingereza cha kuandika na kuzungumza, vipi hapo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.