Recent content by victorshalom

  1. V

    Filikunjombe aomba kugombea tena Ludewa leo

    upendo unalazimishwa nasikia eti ameita bodaboda toka sehemu mbalimbali na pia wakuu wa mashule.
  2. V

    Joseph Lusinde: Nilitoka CHADEMA sasa nipo CCM

    livingstone au joseph?
  3. V

    Nisamehe Mwigulu Nchemba

    Kwa miezi minne iliyopita Mwigulu anaonekana mzalendo wa kweli.
  4. V

    Hatimaye Siri ya Ziara ya Lowassa Nje ya Nchi yabainika

    tuletee kixalendo usiwe biased
  5. V

    Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

    Itafika siku tutajua tu! nimefurahishwa na kibwagizo "eti naipenda nchi yangu". Mwee!
  6. V

    Msaada: Ni kweli Dar Es Salaam ipo Zanzibar?

    Mimi ninachojua Delmitation treaty ya :1886 ilitambua kuwa maeneo ya pwani yote usawa wa maili 10 kuelekea bara kuanzia Tanga mpaka kaskazini ya mto Ruvuma ni ikiwepo DSM ni mali ya sultan wa Zanzibar. Mjerumani aliruhuhusiwa kuwa na whalehouse(godown)pale bandari ya DSM. Mkataba wa Heligoland...
  7. V

    TBC Mnakera sana!

    TBC ni chombo cha propaganda cha ccm.
  8. V

    Kipanya kalewa sifa na kukosa uzalendo sasa

    usilaumu, ni njia nzuri ya kuwasilisha ujumbe kuonesha jinsi matotonya yanavyofanywa huko bungeni ilhali kodi zetu zinateketea. Ni uzalendo wa hali ya juu.
  9. V

    Ni aibu mbunge kutojua lugha ya kingereza

    Kazi ipo. Colonial mentality. Kuna kipindi walisema Mrema hajui kiingereza matokeo yake akaamua kuhutubia mkutano kwa kiingereza. Kuna kiingereza cha kuandika na kuzungumza, vipi hapo!
  10. V

    Ivona Kamutu wa Star tv

    mbona yupo fresh tu,iwe radio au tv
Back
Top Bottom