Recent content by victormztz

  1. victormztz

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    We ni team gani kwanza?,tuanzie hapo😅
  2. victormztz

    Watuhumiwa wanne wa wizi wa mabilioni ya benki ya NBC jijini Dar es Salaam wakamatwa

    Sijawahi kuona mhaya pumbaf kama huyu, misifa imemponza, walijiona wametusua na kuanza kuwarusha roho majirani😀
  3. victormztz

    Watuhumiwa wanne wa wizi wa mabilioni ya benki ya NBC jijini Dar es Salaam wakamatwa

    We mwenyewe boya, unaachaje hela kwa kimada 😀 ,mimi kama mijengo na baadhi ya pesa namkabidhi bimkubwa wangu, zilizobaki nasepa nazo.
  4. victormztz

    Mnaoenda na magari kulewa huwa mnarudi nayo vipi nyumbani?

    DON'T DRINK AND DRIVE. Hivi vitu viwili haviendani abadani. Usije kujidanganya kuwa ukinywa ndio unakuwa makini,ipo siku isiyo na jina kitakukuta kitu.
  5. victormztz

    Professor Assad Asimulia alipokuwa

    Ulikuwa naye wakati anatekwa?
  6. victormztz

    Professor Assad Asimulia alipokuwa

    Huu ulioandika ni ushuzi kama lilivyo jina lako. Toka lini mtekaji aliyefanikiwa kumtia mikononi mateka wake,akamuachie kwa sababu tu ya wabwekaji mitandaoni?
  7. victormztz

    Mafunzo ya ufundi simu na TCRA

    Nafikiri inawezekana kwa sababu kupitia semina, watu hupewa elimu ya ziada japo inaweza isiwe kwa kiwango kikubwa lkn pia njia zipi wahusika wapite ili kuweza kutanua ujuzi wa taaluma zao.
  8. victormztz

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    1st half tunaongoza,vp una la kusema tena?
  9. victormztz

    Mdhamini: Tundu Lissu ameshapona, anashindwa kurejea nchini akihofia usalama wake

    Kuna kiongozi yoyote duniani hasa rais anayetembea bila ulinzi?
  10. victormztz

    Tanzia: Mwana JF Straton Mushi aaga dunia

    Apumzike kwa amani mwanachama mwenzetu.
Back
Top Bottom