Udom hakuna watoto ni watu wazima.Hivyo hofu hiyo tunayo ivumisha inaweza kuwa na tafasili ya kwamba,wasomi wetu hao ni vilaza kiasi cha kushindwa kufanya kilicho wapeleka chuo.Au kiasi cha kupigwa mimba zisizo tarajiwa kwa sababu tu ya watumishi wa wizara kuwepo pale.Nafikiri tunapaswa kuamini...
Makini anapimwaje?koz niliona Wanafunzi Wasio na sifa UDSM 250 NA UDOM 55 TU.Sasa sijui kipimo cha umakini ni kipi.Na sijui kama una data sahihi za usimamizi wa mitihani na test wa Udom.Labda ungetumwambia ni kwanini Udom inaongoza kwa kura vichwa watu wana Disco kuliko Udsm na hata GPA za...
Vigezo vya kujiunga na Degree kwa Diploma pale Udsm vipo wazi tena wameweka mashariti magumu na ukiyatimiza ndo TCU wanakupeleka pale.Lkn chuo kinakukataa hata kama umevuka lengo la sifa na vigezo walivyo toa.Na sijui kwanini wasiwe wazi kusema tu kuwa ili uende Udsm lazima uwe form six level.
kwenye boing umetoa hesabu ya mafuta ya kwenda tu na hauja toa ya kuludi.Lkn pia je hiyo Songea yaweza kuwa na abilia 450 kwa kila safari?nahisi nawe umesahau ni watu wa aina gani wanapanda ndege tz.
ukicheza na namba wanazo cheza nazo Nacte na Tcu utakumbuka tar31 mpaka 11.Sasa tar 23 ilipo fungwa system inacheza nà tar 5 october.Tusubili siku hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.