Me nashaangaa sana wabongo Mlm.Nyerere aliwaokoa watanzania kubaguana ktk maswala ya makabila lkn Leo wasomi wanabaguana ktk maswala ya vyuo wewe uliesoma UDSM unazijua changamoto za UDSM huwezi zijua changamoto za vyuo ambavyo hukupitia wala hukusoma na usitake kulazimisha mfumo wa UDSM uendane...
Dawa akihuliza maswala ya period jifanye kama hujamsikia au usimjibu kaa kimya ukimjibu utakuwa unampa ushirikiano ataendelea kukuhuliza kila siku mpaka ofisi nzimaaaa.... Watajua
Mpaka umri huo misingi ya maisha alishapewa akiwa nyumbani,shuleni na vyuoni leo binti anasubir ajira tatizo sisi binadamu huwa cjui tukoje kama tunavyojua kama tunvyoambiwa jamani ukimwi upo unaua vaeni kinga mshirikipo tendo watu oooh nivae kinga nikose radha mwisho wa siku MTU unaambulia...
Kaka yako anakupenda sana kwa maana hapendi kuona ukiharibiwa maisha yako na mtu yeyote ktk dunia hii hasa ss wanaume tatizo dada zetu mkisha onjeshwaga penzi na sumu ikawaingia hata angekuwa mama na Baba yako hadi ndugu zako wote wangekuambia kitu ungewaona wabaya tu magonjwa mengi sikuhizi...
We dada unaonekana ni muelewa usiruhusu hisia mbaya juu ya mumeo zikutaware kichwani mwako na moyoni tafuta issue za kufanya zitakazo Ku keep bizy pia piga mazoezi usikae kae bure na kuanza kumuwazia mwandani wako mabaya maana utakuwa unakaribisha nuksi na vikwazo ktk ndoa yako
Kawaida ya binadamu sasa umeenda Pima huna unaringa na kujigamba Mwenyezi Mungu kakuepusha na hilo gonjwa hatari kakupa muda wa kubadilika sababu bado anakupenda kijana sasa we endelea kuzini huko dhambini unachokitafuta utakipata muda si mrefu.
Kufungiwa ni kwa muda tu jamani ili kuweka mambo sawa kama kuchunguza students na Lecturers waliopo kama wanavigezo vya kuwepo mahali waliopo me sidhani kama eti wamefungiwa milele ndo maana wanasema wamesitisha kudahili kwa muda tu na siyo wamefungiwa kama wangefungiwa kusingekuwa na mwendelezo...
Me nilienda muhas kufuatilia diploma level pale hakuna haja ya kwenda kitu walichosema apply online kupitia NACTE kitu chochote kinachokupa shida pindi ujazapo fomu fungua web yao www.muhas.go.tz majibu yote yapo hapo namba za simu hawatoi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.