7ya
Member
- Oct 10, 2015
- 43
- 0
Mimi nimehitimu kidato cha nne mwaka wa 2014 nikiwa na ufaulu kama ufuatao:
Chemistry:B
Biology---:B
English----:B
Mathematics: C
History----: D
Geography: C
Kiswahili--:C
Civics: D
Wanajf mkiwa washauri wa mambo ya elimu natambua kuna mnaofahamu jambo hili kiundani.
Je naweza kuapplly course gani za afya kutokana na matokeo hayo:
NB: Physics O-level sikusoma
Kwa mwenye uelewa na hilo nisaidie phone no. 0766922800/0679900996/0786129626
Chemistry:B
Biology---:B
English----:B
Mathematics: C
History----: D
Geography: C
Kiswahili--:C
Civics: D
Wanajf mkiwa washauri wa mambo ya elimu natambua kuna mnaofahamu jambo hili kiundani.
Je naweza kuapplly course gani za afya kutokana na matokeo hayo:
NB: Physics O-level sikusoma
Kwa mwenye uelewa na hilo nisaidie phone no. 0766922800/0679900996/0786129626