Richard Elibarick
Member
- Apr 26, 2016
- 54
- 7
Naomba kuuliza, NACTE wamefunga system yao?
Of coz walishafanya muda sana......kinachoendelea ni mashauriano baina ya TCU na vyuo husika kutokana na agizo jipya la serikali ya elimu kwa upande wa cut off pts za degreeLabda wanafanya selection za shahada ya kwanza.
Wamezoea kupuliza vumbi kwenye mibahasha Tu,wapuuz wakubwaTz upande wa dijitali tulilazimisha tu.
Subiri wana fanya selectionHuu ni ubabaishajiii hivi watanzania mbona hawabadiliki?! sasa wanaposema deadline tarehe 5 nahuku wanafunga system wana maana gani?!!
Mkuu jaribu kuangalia kwenye spam box, za email zao maybe watazikuta hzo passwordshiv hawa jamaa wanampango gan? maana npo na vijana twafanya applcation wamekubali hatua ya kwanza , baada ya hapo wanatakiwa watume password aidha katika namba ya simu au e-mail yako, cha kushangaza hamna kitu walichotuma