Watu hamfuatilii tu vizuri historia.. mnajua kwa nn Korea leo ziko mbili, North and South??.. Kabla ya mwaka 1953 korea ilikuwa ni moja tu.
Ila ilipoanza civil wars ambapo huyo USA alikuwa na mkono. Kwa kuwa kipind hiko alikuwa anataka kueneza falsafa yake ya ubepari eneo la mashariki ya...
Wasalaam kwa kinachoendelea kwa sasa ni dhahir mgogoro wa Iran na Marekan&Israel haujapata suluhu.. vikao kadhaa za vya maridhiano vimefanyika lakin havijazaa matunda
Juzi Nato wamekaa kikao. Miongoni mwa yaliyojadiliwa ni mgogoro huo huku Trump bado akijaribu ku_lobby Nato iiunge mkono marekan...
Wewe aliyekwambia west wanahuruma na wewe ni nan... wamefanya mangapi au umezaliwa leo mzee.. umesahau libya walifanya nn... Iraq umesahau... Russia ndio hana pigo za foo za kibeberu yeye mnafanya biashara win win situation sio hao mbwa uliowataja
Jamaa miyeyusho sana hawa wamebagaza ulaya weee... wazungu wakashtuka wakawatupa
Ona wanavyobagaza Latin America. Yan sera yao wakusanye fedha koote wapeleke vatican.. Wakiwekewa ngumu wanaanza ujinga ujinga wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.