Recent content by Vibranium

  1. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Akimbia baada ya gari yake kukutwa na mwili na bunduki, cash 600m na mihadarati

    Afu mshkaji ni member wa muda huyo huwez amin gusa avatar uone.. sijui ndio wazee washaanza kupata alzheimer 😆😆😆
  2. Vibranium

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Nikichojifunza kwenye uzi huu.. sisi wabongo goodlife tunaona si hadhi yetu au hatustahili..
  3. Vibranium

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Me nadhan wachangiaji wengi hamjamuelewa mtoa mada. Yeye amesema kama nimemnukuu sahihi kwamba.. Kwa mshahara wa million 6 ndio at least mtu anaweza akaishi maisha yenye nafuu ambapo msoto unapungua. Yan kikwapa kinakuwa hakitoi sana pwia kwa mji kama dar.. maana kuna adha zinapungua kama...
  4. Vibranium

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Naungana na mtoa maada umaskini ni mbaya sana 🤣🤣🤣
  5. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani anamuogopa Korea kaskazini kuliko Iran?

    Watu hamfuatilii tu vizuri historia.. mnajua kwa nn Korea leo ziko mbili, North and South??.. Kabla ya mwaka 1953 korea ilikuwa ni moja tu. Ila ilipoanza civil wars ambapo huyo USA alikuwa na mkono. Kwa kuwa kipind hiko alikuwa anataka kueneza falsafa yake ya ubepari eneo la mashariki ya...
  6. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Kuweni Makini na Madeleka

    Hujaelelweka.. ana pembe au mkia
  7. Vibranium

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Nimemaanisha unalala mapema.. its not that brutal 😁😁
  8. Vibranium

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Unalala kama kuku 😊😊
  9. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Shocking: Inadaiwa Wanawake wengi wanaoenda gym wanaliwa na trainers!

    Kwahyo umtafutie personal trainer wa kike ili amsage au sio mwanetu
  10. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Dhahiri mgogoro wa Iran na Marekan&Israel haujapata suluhu

    Wasalaam kwa kinachoendelea kwa sasa ni dhahir mgogoro wa Iran na Marekan&Israel haujapata suluhu.. vikao kadhaa za vya maridhiano vimefanyika lakin havijazaa matunda Juzi Nato wamekaa kikao. Miongoni mwa yaliyojadiliwa ni mgogoro huo huku Trump bado akijaribu ku_lobby Nato iiunge mkono marekan...
  11. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Natafuta chuo Cha kufundisha part time tutorial assistant?

    Taarifa yako haijakamilika.. upande wa taaluma.. una nn PGD au Master's.. wadau watakuuliza tu
  12. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Kenya wao wanaenda kwa Wazungu wenye huruma na kupenda Democrasia. Sisi Tumekimbilia Russia

    Wewe aliyekwambia west wanahuruma na wewe ni nan... wamefanya mangapi au umezaliwa leo mzee.. umesahau libya walifanya nn... Iraq umesahau... Russia ndio hana pigo za foo za kibeberu yeye mnafanya biashara win win situation sio hao mbwa uliowataja
  13. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Waijua nchi ndogo ya Lebanon ndani ya Tanzania?

    Vp Lebanon bado ipo??... Maana kulikuwa na tetesi Jiwe aliisambaratisha
  14. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Hii Obsession yake kwa Kanisa Katoliki sio ya kawaida. Mwambieni tu hata afanyaje, wana ushahidi wa kutukuka juu yake lazima utamzamisha vilivyo ICC

    Jamaa miyeyusho sana hawa wamebagaza ulaya weee... wazungu wakashtuka wakawatupa Ona wanavyobagaza Latin America. Yan sera yao wakusanye fedha koote wapeleke vatican.. Wakiwekewa ngumu wanaanza ujinga ujinga wao
Back
Top Bottom