Recent content by Vibranium

  1. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani anamuogopa Korea kaskazini kuliko Iran?

    Watu hamfuatilii tu vizuri historia.. mnajua kwa nn Korea leo ziko mbili, North and South??.. Kabla ya mwaka 1953 korea ilikuwa ni moja tu. Ila ilipoanza civil wars ambapo huyo USA alikuwa na mkono. Kwa kuwa kipind hiko alikuwa anataka kueneza falsafa yake ya ubepari eneo la mashariki ya...
  2. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Kuweni Makini na Madeleka

    Hujaelelweka.. ana pembe au mkia
  3. Vibranium

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Nimemaanisha unalala mapema.. its not that brutal 😁😁
  4. Vibranium

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Unalala kama kuku 😊😊
  5. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Shocking: Inadaiwa Wanawake wengi wanaoenda gym wanaliwa na trainers!

    Kwahyo umtafutie personal trainer wa kike ili amsage au sio mwanetu
  6. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Dhahiri mgogoro wa Iran na Marekan&Israel haujapata suluhu

    Wasalaam kwa kinachoendelea kwa sasa ni dhahir mgogoro wa Iran na Marekan&Israel haujapata suluhu.. vikao kadhaa za vya maridhiano vimefanyika lakin havijazaa matunda Juzi Nato wamekaa kikao. Miongoni mwa yaliyojadiliwa ni mgogoro huo huku Trump bado akijaribu ku_lobby Nato iiunge mkono marekan...
  7. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Natafuta chuo Cha kufundisha part time tutorial assistant?

    Taarifa yako haijakamilika.. upande wa taaluma.. una nn PGD au Master's.. wadau watakuuliza tu
  8. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Kenya wao wanaenda kwa Wazungu wenye huruma na kupenda Democrasia. Sisi Tumekimbilia Russia

    Wewe aliyekwambia west wanahuruma na wewe ni nan... wamefanya mangapi au umezaliwa leo mzee.. umesahau libya walifanya nn... Iraq umesahau... Russia ndio hana pigo za foo za kibeberu yeye mnafanya biashara win win situation sio hao mbwa uliowataja
  9. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Waijua nchi ndogo ya Lebanon ndani ya Tanzania?

    Vp Lebanon bado ipo??... Maana kulikuwa na tetesi Jiwe aliisambaratisha
  10. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Hii Obsession yake kwa Kanisa Katoliki sio ya kawaida. Mwambieni tu hata afanyaje, wana ushahidi wa kutukuka juu yake lazima utamzamisha vilivyo ICC

    Jamaa miyeyusho sana hawa wamebagaza ulaya weee... wazungu wakashtuka wakawatupa Ona wanavyobagaza Latin America. Yan sera yao wakusanye fedha koote wapeleke vatican.. Wakiwekewa ngumu wanaanza ujinga ujinga wao
  11. Vibranium

    JamiiForums Tanzania Wanaofikiria kumhujumu na kumkwamisha Rais wetu wanajisumbua

    Samia tunaye na tunatamba nayeeeee
Back
Top Bottom