Recent content by Vianelly Vian

  1. V

    Rais Magufuli: Kama umesoma 'private school' atakayekupa mkopo ni kichaa

    Kufariki unaweza kupeleka death certificate tatizo akifilisika gafla
  2. V

    Leo dolla imepanda dhidi ya shillingi hali ni tete ndugu zangu

    Ni kawaida kukiwa na matukio makubwa kama hili ambalo la kesho yaani Muungano Day so watu wengi wanabadili Tsh kwenda dollar in case Muungano ukigoma wawe kwenye safe side. Dah kwa hiyo mtu mmoja ameweza hadi kushake thamani ya Sh.??? Hapa nina uhakika wazee wa Forex wametengeneza pesa ya...
  3. V

    Jukwaa huru la wazalendo liko wapi? Siwasikii kwenye tetemeko la Kagera

    kwahiyo kazi ya hilo jukwaa ni matamko tu??? duh
  4. V

    Mfahamu ndege Tai na tabia zake

    American Symbol,hebu tupe na sifa za twiga tuone labda Nembo ndo inayotukwamisha....
  5. V

    Tanzania ya viwanda ingeanza na SIDO na VETA, vitu vingine mnajilemaza sana..

    kuna shida kubwa sana ninachokiona ni nchi kutojiandaa kuingia kwenye uchumi wa viwanda ukienda ukienda wizara ya viawanda ndo utasikitika zaidi.Waziri husika ni muongeaji sana vitendo hakuna
  6. V

    Waziri wa Mkapa aomba haki itendeke baada ya kudhalilishwa mtandaoni

    Akili ndogo hizi so ili mtu awe waziri bora ni lazima ajue English ,Utumwa wa fikra
  7. V

    Haiti....shida ni nini hasa?

    hivi kwani ni lazima ucopy hiyo story yoote ili tu useme du!!
  8. V

    Banki tano zote zimeniambia sikopesheki japo nina asset kama dhamana

    pole sana kaka hii imekuwa ni changamoto kubwa sana kwa nchi yetu nikiwa kama kijana nataka nilipambanie hili kitaifa kuhakikisha kijana anakopesheka kwa masharti ambayo ni rafiki kwake naamini kama nchi tukiamua tunaweza kuwa na programu maalumu ya kumsaidia kijana kuweza kujiajiri
  9. V

    BURKINA Faso

    kumbukumbu nzuri sana
  10. V

    Kigogo wa BoT azuiwa Airport kutokana na kukosa vibali vya kusafiri nje ya nchi

    Nimepita hapo juzi tu na after x mass narudi hakuna ialiyenisumbua ila usumbufu kidogo unakuwa ubalozini not Airport
  11. V

    Kigogo wa BoT azuiwa Airport kutokana na kukosa vibali vya kusafiri nje ya nchi

    Kwanza muandishi inaonekana hajawahi tumia uwanja wa ndege wa JKN akajua utaratibu pale uko.
Back
Top Bottom