wapo feshi, niliwatumia miaka miwili iliyopita, gari ilikuwa mpya kuliko kwenye picha dhao, usisahau kutumia paytrade, hiyo ndio insurance yako, maana ndio unawalipa wao wa deal na waudhaji. All the best
Mkuu, na mimi nahitaji hiyo satelite dish ambayo ni free to air, bila malipo ya mmonthly. Nitapata wapi, na bei gani kwa ambayo nitawedha ona channel dhote dha bongo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.