Kiukweli kuna haja ya Upande mmoja kujitafakari:
1. Kuna Upande wanajihesabia haki na kwamba ni wacha Mungu lakini matendo sasa(Unafiki na Masengenyo vimewatawala)
2. Kuna wanaonekana Wakorofi ilhali kwenye Utu na Haki wanazingatia.
Mwisho wa siku huwa wanasema maneno mengi hula vitendo kati ya...
hivi rafiki wa Maunda (Mamama Koko) ambaye Maunda alienda kuhudhuria mazishi na baadae yeye kupatwa ajali alifariki kwa Ugonjwa au?
sababu inavyoonekana pia Maunda alikuwa kwenye panicking mode hata msibani alikuwa na bumbuwazi video moja nilimwona kwenye page ya Joyce kiria Instagram so labda...
ni Kweli cha Msingi pia Endelea kuwekeza kwenye vitu ambavyo vinakupa wewe ujasiri upatapo nafasi vifanye kwa ujasiri zaidi lazima unakipaji flani au kitu unachokifanya vizuri kikazanie zaidi wekeza mda kwenye vitu vinavyokupa furaha/utulivu , duniani hakuna mkamilifu wengine wanakucheka...
NAKAZIA tena ukitaka kujua mtu mwenye kujutia utamfahamu namna anavyoongea mara nyingi kupayuka payuka si mpango hata BIBLIA ILIKATAA Kupayuka payuka.
1)kuna watu hawawezi unafiki,na hawatafuti huruma ya wananchi
2)Kuna watu wamebobea ni wakufunzi wa Unafiki katika kutafuta huruma za wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.