elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,461
Wakuu
Nimetumia mfano wa mafather na masister lakini huu ni mfano kuntu na jadidifu.
Hawa watu neno msamaha hawana akilini mwao.
Kila mwaka utasikia wana mwaka wa huruma ya Mungu lakini yeyote aliyewahi kuingia kwenye kumi na nane za hawa watu atashuhudia hapa.
Hadi huwa najiuliza why?
Wamejawa na hisia ovu sana hawa watu .
Hisia za kisasi, wivu, roho mbaya nk
Neno WAKRISTO halikutamkwa popote na Mungu baba ama yesu mwenyewe bali ni jina walilopewa wafuasi wa Kristo na wale wapagani kule antioki, ndiyo mara ya kwanza wafuasi wa kristo kuitwa Wakristo, kule antioki.
Viongozi Wakristo wa uongo wapo chungu mzima.
Hata rushwa makanisani ni nyingi kuliko misikitini.
Wasabato wa STU(South Tanzania Union)viongozi wao wameiba mamilioni hadi leo wameshindwa kuyaamua wenyewe.
Kwa upande mwingine ukiachilia mbali baadhi ya misimamo yao lakini kwenye suala la utu na hofu ya Mungu wenzetu waislamu wapo vizuri sana.
Hata kwenye suala la charity na kusema ukweli wapo vizuri.
Kanuni nyingi za dini/ falsafa ya uislamu zinafanya viongozi wa hii dini wawe watu wa utu sana.
Hata ukiangalia serikali zetu sita tangu wakati wa Julius Nyerere hadi sasa unaweza kujionea ni awamu zipi zilikua zinaongoza kwa mkono wa chuma na zipi watanzania walikua wanapumua na kusema afadhali.
Je Kanuni za kikristo hazifanyi zitoe viongozi wanaomuogopa Mungu?
Hofu ya Allah ni kubwa sana kwa wenzetu waislamu kuliko Hofu ya Mungu kwa Wakristo.
Katika kufanya kwangu kazi na watu wa aina tofauti Waislamu ni trustworthy kuliko Wakristo.
NB
MODS wameedit heading ya uzi huu nilitaka usomeke “ Wakristo wana Roho mbaya kuliko Waislamu “
Disclaimer: Sina dini, I’m a philosopher and believe in A Supernatural Creator and Order.
Nimetumia mfano wa mafather na masister lakini huu ni mfano kuntu na jadidifu.
Hawa watu neno msamaha hawana akilini mwao.
Kila mwaka utasikia wana mwaka wa huruma ya Mungu lakini yeyote aliyewahi kuingia kwenye kumi na nane za hawa watu atashuhudia hapa.
Hadi huwa najiuliza why?
Wamejawa na hisia ovu sana hawa watu .
Hisia za kisasi, wivu, roho mbaya nk
Neno WAKRISTO halikutamkwa popote na Mungu baba ama yesu mwenyewe bali ni jina walilopewa wafuasi wa Kristo na wale wapagani kule antioki, ndiyo mara ya kwanza wafuasi wa kristo kuitwa Wakristo, kule antioki.
Viongozi Wakristo wa uongo wapo chungu mzima.
Hata rushwa makanisani ni nyingi kuliko misikitini.
Wasabato wa STU(South Tanzania Union)viongozi wao wameiba mamilioni hadi leo wameshindwa kuyaamua wenyewe.
Kwa upande mwingine ukiachilia mbali baadhi ya misimamo yao lakini kwenye suala la utu na hofu ya Mungu wenzetu waislamu wapo vizuri sana.
Hata kwenye suala la charity na kusema ukweli wapo vizuri.
Kanuni nyingi za dini/ falsafa ya uislamu zinafanya viongozi wa hii dini wawe watu wa utu sana.
Hata ukiangalia serikali zetu sita tangu wakati wa Julius Nyerere hadi sasa unaweza kujionea ni awamu zipi zilikua zinaongoza kwa mkono wa chuma na zipi watanzania walikua wanapumua na kusema afadhali.
Je Kanuni za kikristo hazifanyi zitoe viongozi wanaomuogopa Mungu?
Hofu ya Allah ni kubwa sana kwa wenzetu waislamu kuliko Hofu ya Mungu kwa Wakristo.
Katika kufanya kwangu kazi na watu wa aina tofauti Waislamu ni trustworthy kuliko Wakristo.
NB
MODS wameedit heading ya uzi huu nilitaka usomeke “ Wakristo wana Roho mbaya kuliko Waislamu “
Disclaimer: Sina dini, I’m a philosopher and believe in A Supernatural Creator and Order.