Kuna mjinga mmoja humu alikomaa Boris ametoka madarakani kwa ajili ya mambo ya kuvunja masharti ya uviko 19,waukraine wa kwa mtogole wana matatizo sana
Mara ooh uchumi wa Russia haufikii jimbo la Washngton, sijui ni kilevi gani mnatumia pro-western
Tungeanza na wewe kuwa makini kidogo kuandika vyema maana haukukurupushwa, hivyo ni walimu si waliamu.
Tatizo kuchukua nafasi zenu vijana ama wao kufa masikini?
Inapokuja fursa ya kupata fedha hakuna kusema eti anao mshahara hvyo atumie muda uo kufanya mengine,huko ni kumpangia maana si walimu...
Source ya raia wa Ukraine kupigana upande wa Russia???
Usiame mada, swala Mrusi anatumia wafungwa, si Ukraine kafanyaje na wakina nani, yeye anaweza fanya lolote si kanchi kadogo, ila si ujinga wa kusema Russia anatumia wafungwa.
Tusi lipo wapi ama ndio uzwazwa hujui hata maana ya tusi?
Are you serious?yaani unafananisha shughuli za uzalishaji na vita? Unakula nini wewe mpaka unakua zwazwa hivyo? Sasa wawapeleke wafungwa ambao hawana training za vita, unampeleka mfungwa FOB anaanzaje kukaa kwa battle formation nd shape???
Ao reserve na wanajeshi wenyewe wanafanya nn??
Kwanza...
Kumekuwa na shutuma nyingi sana zikimuhusisha kocha huyu bora kabisa kuwahi kotokea ulimwenguni na ubaguzi dhidi ya watu weusi na karibuni alihusishwa na Yaya Toure, je lina ukweli hili ama shida tu ya kisaikolojia ya sisi watu weusi?
Hapana hapo wanatest mitambo na pia ni biashara hiyo, watu wakiona inafanya kazi ndio inauzika vyema.
Pitia vyema Civil war ya Hispania ilivyotumika na Hitler kujaribia ufanisi wa silaha zake.
Ingeandikwa kwa Kiswahili ungepost hii??? Ama kila cha kiingereza ni ukweli?
Soma hapa kisha tafakari namna gani unafuta hii usidharirike
https://worldpopulationreview.com/country-rankings/military-size-by-country
Russia inajumla ya wanajeshi active 1,014,000, tuseme wamekufa 30,000, ndio...
Sasa we unajua lengo la yeye kutumia hivyo mkuu?is that a point unajengea hoja?kama kaishiwa si ungesikia wakuu wako wanashangwe now?we bhana endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Kipindi huyu mnigga anaripoti pumba hizi, wakuu wa nchi za magharibi wanajiuzulu,wanalaumiana na kususiana huku wengine wakiwa na hofu ya kutolewa madarakani kwa kuisapoti Ukraine ili hali kwao hali mbaya.
UBONGO WA MK254 NI AJABU LINGINE LA ULIMWENGU🙌🙌🙌
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.