Pep Guardiola kweli ni mbaguzi wa rangi?

VERDAD

JF-Expert Member
Sep 25, 2018
276
530
Kumekuwa na shutuma nyingi sana zikimuhusisha kocha huyu bora kabisa kuwahi kotokea ulimwenguni na ubaguzi dhidi ya watu weusi na karibuni alihusishwa na Yaya Toure, je lina ukweli hili ama shida tu ya kisaikolojia ya sisi watu weusi?

Screenshot_20220713-235916.png
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana zikimuhusisha kocha huyu bora kabisa kuwahi kotokea ulimwenguni na ubaguzi dhidi ya watu weusi na karibuni alihusishwa na Yaya Toure, je lina ukweli hili ama shida tu ya kisaikolojia ya sisi watu weusi???
Hiyo shutuma ya Yaya Toure nikweli lakini pia hatuwezi kujua sababu nyingine iliyopo behind the scene
Kwa asilimia kadhaa ni kweli pep nimbaguzi
 
50% ni kweli. Japo coacher bora na pendwa kwangu, pia yupo ktk chama language la ETIHAD.
 
Kila mmoja atumie akipendacho pep hapendi watu weusi is fine, mourinho anawakubali watu weusi is fine tuache kujilalamimisha kama tumekubali kuweka vivutio vya biashara ya utumwa afrika wakati wazungu waliuzana miaka mingi lakini hakuna sehemu wameweka kumbukumbu hiyo
 
Kwan hili suala si lilishaisha
Toure ana mahaba na pep aache hizo timu zao za taifa wanacheza kama hawataki kaz kujipendekeza kwa wazungu
 
Kila mmoja atumie akipendacho pep hapendi watu weusi is fine, mourinho anawakubali watu weusi is fine tuache kujilalamimisha kama tumekubali kuweka vivutio vya biashara ya utumwa afrika wakati wazungu waliuzana miaka mingi lakini hakuna sehemu wameweja kumbukumbu hiyo
Siku ukikutana na ubaguzi utajua
 
Ni kweli nasikia ana mpango wakuwaondoa wachezaji wenye asili ya Africa wote kiufupi Guardiola na wachezaji weusi hawaendani ukiangalia hii uza uza ya man city msimu huu mtu kama sterling gabriel jesus na wachezaji wengine alioamua kuwaweka sokoni unaona kabisa jamaa na rangi nyeusi hawaendani.
 
Ni kweli nasikia ana mpango wakuwaondoa wachezaji wenye asili ya Africa wote kiufupi Guardiola na wachezaji weusi hawaendani ukiangalia hii uza uza ya man city msimu huu mtu kama sterling gabriel jesus na wachezaji wengine alioamua kuwaweka sokoni unaona kabisa jamaa na rangi nyeusi hawaendani.
Mmh mbona Sterling amekaa pale miaka 7 Mzee na Guadiola amekaa nae kwa miaka 6 Kama mchezaji wake tegemeo?

Naweza kukubali pengine ni mbaguzi Ila Kuna wakati sisi waafrika tunajishtukiaga tu.
 
Siku ukikutana na ubaguzi utajua
Tatizo sio wao kukubagua ni wewe jinsi unavyoresponse huo ubaguzi, ok by experience nimeshabaguliwa na wazungu hapa hapa na nimeshabaguliwa na ngozi nyeusi wenzangu hapa hata ndugu wananibagua mkuu jinsi utakavyo jibu ndivyo itaamua ikuumize au lah
 
Hako Ka Pep Guardiola ni kajinga na kabaguzi tu kama kale kapuuzi kenzake Zelenysky, ka Uraine.
 
Ni kweli hapendi wachezaji WEUSI, hawapendi kabisa ni vile tu awe na kipaji sana lkn kama kuna mzungu anafanana na kipaji cha huyo mweusi basi mweusi anauzwa haraka sana. Rejea ETOO, TOURE nk
 
Mbona hamsemi ferguson hakuwahi kuwaamini wachezaji wa kiafrika!??
Uafrika gani unaosema wewe? Kinachozungumzwa hapa ni watu weusi, Ferguson alikuwa na wachezaji wengi sana weusi.

1. Quintine Fortune
2. Luis Saha
3. Louis Nani
4. Underson
5. Yorke
6. Andy Cole
Hao wote walipendwa sana na Fergie. Kinachozungumzwa ni ule ubaguzi wa rangi alionao GUARDIOLA.
 
huyu Toure ni mpuuzi sana, Jama nashindwa kufahamu anajionaje, tizama hapa anaanzaje kujilinganisha Iniesta? nayeye anadimend treat sawa na Iniesta ama?


Huyu jamaa nilithibitisha kuwa ni mwehu siko aliolalamika kuwa City hawajamfanyia sherehe ya Birthday Pumbav kabisa. Drama Queen
 
Wengi wa wachangiaji ni typical Africans, wako very emotional na skin colour yao bila ya kutizama facts zozote.

Kuna kocha gani ulaya ambae hajawahi kuwa na mizozo na wachezaji?

Huyo Toure ni mpuuzi sana, alichotaka yeye hasa ni nini? kuwa Pep awaeke nje David Silva na De bruynee aceheze yeye ama?

Waafriica ni watu ovyo sana. Taribo West nae aliwahi kulalamika kafanyiwa Ubaguzi AC MIlan kwa kuwa hakua akichezeshwa huku akiamni kuwa yeye Alistahiki kucheza mbele Paulo Maldini, Robert Ayala na Costa Curta.

Pep alipoingia City aliwaondoa Dzeko, Zabaleta, Sagna, Clichy, fernando, Nasri, Kolarov, Danilo, Joe Hart (tenu huyu alimondoa kiroho mabaya kabisa Jamaa alikua England No 1 na akivuma kuwa katika makipo Bora kabisa PL)
Wote hawa hapakuwa na tatizo lolote na wala malalamiko yoyote popote, Ni simple tu yeye kama kocha hakuwaona kuwa wanafaa kwenye mchezo wake. Kwanin hayo malalamiko yawe kwa Toure tu?

Waafrica tuna mambo ya ajabu sana.
 
Back
Top Bottom