Recent content by Veljko

  1. V

    Ndugai aungana na Magufuli kuipinga Bandari ya Bagamoyo

    😂😂😂😂😂😂😂kwahiyo spika alikua hajui terms za mradi🤣🤣🤣kiongozi wa wawakilishi bungeni🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
  2. V

    Tujikumbushe mabeki hodari waliochezea timu zetu Tanzania miaka ya 90

    masatu na kizota sikuwashuhudia kuwaona live ila nilikua nasikia tambwe zao kupitia matangazo ya moja kw moja kwa njia ya redio ya mzee wangu. wapi jamani mtangazaji aliyekua na mbwembwe ezekiel marongo!!!
  3. V

    Tottenham vs Liverpool (Who will win) ?

    😂😂😂😂mkuu jamaa akikujibu unijuze
  4. V

    Wapiga Vichwa wakali kuwahi kutokea katika soka

    mk mkuu nimeipenda sana hii. evra hakumpiga kibao kweli??
  5. V

    Natafuta kazi ya ukalimani Ikulu

    mkuu umenifurahisha😂😂😂😂alikua wapi siku zote hizo
  6. V

    Nimesoma Mkataba wa Wachina Bandari ya Bagamoyo, Tuna Viongozi wa Ajabu haijapata kutokea ! Tumshukuru Mungu kwa Hili

    mkuu sasa nini hichi umefanya?. mimi nadhani ulikua unatushirikisha yaliyomo kwenye mkataba kumbe unawaza 2020 tu?
  7. V

    Binafsi sijaielewa hii picha

    Haki huinua Taifa
  8. V

    Askofu Kakobe: Ukimgusa mmoja umetugusa wote!

    🤣🤣🤣🤣mkuu nimecheka sana kuskia kuna wengine wako juu ya paa na salama hawataki mbali na kuwa wako kanisani.This is fire🏃‍♂️
  9. V

    Miradi mikubwa ya mabilioni bila bajeti inaweza kutufikisha mahali ikatushinda kumalizia

    Viongozi wa bunge wanapoongoza vikao akiwa anachangia mbuge wa upizani kabla ya kumaliza point utaskia kiongozi anasema aasanteee
  10. V

    Miradi mikubwa ya mabilioni bila bajeti inaweza kutufikisha mahali ikatushinda kumalizia

    mkuu niko busy pia kutafuta video ya wakati raisi akifungua huo mradi wa kimara
  11. V

    Miradi mikubwa ya mabilioni bila bajeti inaweza kutufikisha mahali ikatushinda kumalizia

    Mkuu mbona raisi amesema tutembee kifua mbele, inamana hua hamanishi kua mambo yako sawa sawa?
  12. V

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    M Asante mkuu kwa maelezo mazuri. All the best Mkuu
  13. V

    Aliyeshindwa kusoma, kisa wazazi wake hawana uwezo, Rais amwambia; ‘’Kawaambie Walime

    mkuu umeskia majibu ya mtoa elimu bure. Huyo binti kaibua moja kati ya maswali magumu ambayo mkuu wa nchi kajibu kwa jazba na amekosa point 3 muhimu. Na huo ndo mtaji w ccm kuona watu wa nchi hii wanapata elimu duni.
Back
Top Bottom