Ha ha! Hongera sana mkuu kwa kufanya maamuzi magumu, mana kama umezoea hiyo kitu kuacha ni ngumu lakini kama umeweza kufikia maamuzi hayo Mungu akusaidie usirudie mawazo ya nyeto
Kiukweli hiyo hali inauma sana ila mtu unatakiwa kujiamini na kujiona kua unathamani na unaweza kumpata mtu mwingine zaidi yake. Achana nae na uendelee na maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.