Vita ya Tanzania ni maneno na kubanwa kisheria ukiogopa kuutumia kalamu Yako maana yake wewe ni coward Lissu na wengine nje tu ya kuwa wansiasa ni watu waoambanajibkuona mambo yapo sawa au yaelekee kuwa sawa. Uvunjifu wa haki za binadamu mfumo mbovu wa huduma za jamii, mrundikano wa Kodi, yote...
Ni jambo la kawaida ila linahuddiana na saikolojia na hofu juu ya jambo hilo pendelea vyakula vya asili kama mihogo maziwa magimbi ugali wa Dona na kufanya mazeozi ya kukata tumbo na kuimarisha misuli kama una usafiri punguza kuutumia na tembea kwa miguu
Tanga + Nyika, Maana yake kwanza kabisa ni viumbe aina ya samaki wanaopatikana katika ziwa Tanganyika hivyo Tanga ni samaki pia na Nyika ni samaki ila wana sifa ya kipekee na hawapikiki bila maagano kati ya hao mmoja anao umeme kama ulinzi wake na mwingine anayo nguvu ya ushambuliaji wa...
Yawezekana ikawa aina ya nguvu/energy kwani kuna kinetic energy na potential energy
Kwa hiyo potential ipo nyeti sana haswa kwenye mambo ya mmeng'enyo wa chakula (huenda kisiasa ikawa zaidi ya hilo)
Kaka kugombana na mke ni jambo la kawaida tu, watu wanagombana halafu na usiku wanatendewa na haki ya ndoa na asubuhi ugomvi unaendelea kama kawaida. kwa hiyo kila na uone na umpe hajachukua ndiyo maana alienda bafuni akaiga na yawezekana amelala kama siku zingine tu ndiyo uangalie hapo
Jamani yeye ameshasema jamaa ni tapeli kwa hayo ni sawa. Ila uganga ni zaidi ya mchungaji kwa masharti yake siyo kupalamia tu maana ni kazi ya kujitenga na mabaya na kumbuka wanaowindwa na wabaya wao pia ulinzi wa kiroho kwao ndio jicho la kwanza ndio mengine yafuate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.