Recent content by VanmesRonaldoFegie

  1. V

    Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

    Kwani umepigwa picha potezea Sent using Jamii Forums mobile app
  2. V

    Toyota harrier G240 my dream Gar

    Baba kama unachukua Hilo Gari ni zuri sana Aiseeee
  3. V

    Hii Fastjet bora ife tu

    Ndege ina utaratibu wake, kaka usimlalamikie reporting time umeambiaje
  4. V

    Wataalamu wa kudukua/ ku-hack simu za wenza wetu tukutane hapa kueleza athari tulizozipata baada ya kujifanya wajanja!

    Watu siku hizi tunadukua magari yetu yanafanyeje Kazi, ofisini wanafanya je Kazi, Boda boda ipo town au imepaki, wew bado unadukua mapenz
  5. V

    Ni njia ipi sahihi kuhifadhi vyeti vya shule na chuo?

    Tunza bank, tunza mahakamani Nawakilisha
  6. V

    Siku ulipoachana na mpenzi wako ulimwambia neno gani?

    Mim nakumbuka nishasahau tender opening day, kisa mapenz na Ile tender ilikuwa ya mamilion ya pesa kwenye NGOs moja na tender nilishinda ila kwa sababu sikuwepo project akapewa mshindi wa pili toka hapo I hate 2rue love, mwanamke ambaye Hana akili ya kusoma nyakati Mola anipe wepesi wa kumsahau...
  7. V

    Siku ulipoachana na mpenzi wako ulimwambia neno gani?

    Aiseeee Kuna kipindi mwanamke Ana kera kuzidi kipimo na ukimpa mda wa kujadiliana mnarudia mlemle na ukiangalia Kazi za mhimu zinakusubiri ili uingize chapaaaa nini kipi bora
  8. V

    Msaada wakuu, mimba ya mke wangu inatuvuruga

    Potezea na wew kuwa jeuri, Africa tumeumbwa kibabe hatujaumbwa kukacare, mpe mabanzi uone harudiii Tena.
  9. V

    Need a husband material

    MI ninazo Sema ni muislam kwa hapo tumepishana
  10. V

    Nimefikia muda wa kuoa, nakosa mke mwenye sifa zifuatazo

    Utakuwa ulizama Mv bukoba ukaokolewa
  11. V

    Siku ulipoachana na mpenzi wako ulimwambia neno gani?

    Mim sijawahi kumwambia maneno machafu mwanamke, huwa naamka kupotezea na kuacha kupokea simu na sms sizijibu Basi maisha yanaendelea.
Back
Top Bottom