Mim nakumbuka nishasahau tender opening day, kisa mapenz na Ile tender ilikuwa ya mamilion ya pesa kwenye NGOs moja na tender nilishinda ila kwa sababu sikuwepo project akapewa mshindi wa pili toka hapo I hate 2rue love, mwanamke ambaye Hana akili ya kusoma nyakati Mola anipe wepesi wa kumsahau...
Aiseeee Kuna kipindi mwanamke Ana kera kuzidi kipimo na ukimpa mda wa kujadiliana mnarudia mlemle na ukiangalia Kazi za mhimu zinakusubiri ili uingize chapaaaa nini kipi bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.