Msaada wakuu, mimba ya mke wangu inatuvuruga

Msaada wakuu, mimba ya mke wangu inatuvuruga

Mbonaaaa bado!anakuamsha saa 9 usiku anakuambia nataka unizngushe na gari mpaka kukuche, wakati hata baiskel sina wala gari kuendesha sijui
 
Mbonaaaa bado!anakuamsha saa 9 usiku anakuambia nataka unizngushe na gari mpaka kukuche, wakati hata baiskel sina wala gari kuendesha sijui
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nmecheka kinoma
 
Maajabu ni kwamba wanaojazwa mimba na kutelekezwa makwao hawanaga hizi mbwembwe za kuagiza watu chipsi au mihogo usiku wa manane.Naamini huwa ni usanii tu hormones zinasingiziwa.Ukitelekezwa na hormones hazitoki au?
 
No! Mimba sio sababu ya Kum harass mtu!,hormones gani hizo zinakutuma umnyanyase mumeo?
 
Maajabu ni kwamba wanaojazwa mimba na kutelekezwa makwao hawanaga hizi mbwembwe za kuagiza watu chipsi au mihogo usiku wa manane.Naamini huwa ni usanii tu hormones zinasingiziwa.Ukitelekezwa na hormones hazitoki au?

Nilikua nataka kusema km wewe
 
mlikaa mda gani pamoja kabla hajapata mimba????

i mean tokea muoane kama hii ni mimba ya kwanza mlikaa mda gani?
 
Huu ndo ujinga wa wanawake ambao siukubaligi, ila watakwambia ni sababu za Mimba, Kibongo bongo we komaa naye, ndo ya kwanza?
 
Back
Top Bottom