Hellow,
Mimi ni binti wa miaka 22, Nimezaliwa kijijini ila badae nilikuja mjini Dar kwa ajili ya kwenda shule. Lakini sikufanikiwa kumaliza kwa kuwa ndugu zangu walishindwa kunilipia ada hapo katikati. Kwa kuwa walikuwa hawajajenga walinipangia chumba karibu na wanapoishi. Nilivoacha shule kwa...
Samahanini,
Mimi ni mjamzito mimba ya mwezi mmoja na nusu, tumbo linanisumbua sana. Pia nimepima UTI, hakuna lakini nimekutwa na Malaria tatu.
Sasa nimepewa duphaston kwa ajili ya tumbo na dou-cotexin kwa ajili ya Malaria. Nimekunywa dawa usiku huu, nimetapika na mwili umeniishia nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.