Haya mambo yapo jamani. Pengine na sisi wagonjwa hatuelewi haki zetu. Mi nilishuhudia wodi ya wazazi, intern wako na supervisor wao. Basi mtoto akikaribia kutoka wanaitwa wote ukiona wanavyochungulia anapotoka utaogopa.
Mimi bado siamini. Najua mimi na wewe tumepita huko, na wala sio jambo la ajabu kwenye mtihani kukutana na jambo ambalo ama ulijui au umesahau ndio maana ukaitwa mtihani. Je kwenye hali hiyo ulikua unaandika matusi au bongo fleva kwenye answer sheet? Kuna shida nyingine kubwa tu na watoto wa...
Na wazazi/ walezi hatuna muda wa kufuatilia maendeleo ya watoto wetu. Hata mimi shule niliyosoma hatukuwa na walimu wa kutosha, lakini tulifanya vizuri kupitia discussion na wanafunzi waliokua wana walimu. Watoto wetu wanahitaji msaada wetu wa kimalezi pia. Kuandika bongo fleva inahusiana nini...
Mpeleke hospitali kwa wataalamu kwa uhakika zaidi. Watoto wadogo huwa hawatabiriki. Mchunguze pia kama ananyonya vizuri ili ujue jinsi ya kumuelezea daktari. Mtoto wa wiki moja kujisaidia mara kwa mara ni kawaida, lakini mpeleke kwanza hospitali
Ulitaka kufahamu kama kuna madhara yoyote kibailojia kufanya mapenzi na mwanamke mjamzito ( na ujauzito kapewa na mtu mwingine). Jibu lake HAKUNA MADHARA. Hayo mengine ya mke wa mtu hayatuhusu kwani wote ni watu wazima mnajua mnachokifanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.