jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 794
- 192
ndugu wana JF naomba ushauri
nimetokea kumpenda dada mmoja ana ujauzito wa miezi ninne/mitano, alikuwa ameolewa ila mume wake hamtaki tena kwa kweli huyu dada ni mzuri sana na nipo tayari kumuo kama mume wake atampa talaka
Wote yeye na mimi tunahamu sana ya kufanya mapenzi ila mwenzangu anaogopa kumharibu mtoto aliye tumboni maana kaambiwa ukifanya mapenzi na mtu mwingine tofauti na mumeo aliyekupa mimba utaharibu mtoto(hatujui anaharibikaje)
je kuna uwezekano wa mtoto kuharibika kama tutafanya kwa kondom?
je kuna uhalisia kibiologia mtoto kuharibika kwa kufanya mapenzi na mwanaume asiyehusika na mimba
ni muda gani mdada mjamzito anapaswa kuacha kufanya mapenzi nje ya mume wake kama itabidi!
majibu yenu yatasaidia wengi
(ni rafiki yangu wa karibu sana kaniomba ushauri)
nimetokea kumpenda dada mmoja ana ujauzito wa miezi ninne/mitano, alikuwa ameolewa ila mume wake hamtaki tena kwa kweli huyu dada ni mzuri sana na nipo tayari kumuo kama mume wake atampa talaka
Wote yeye na mimi tunahamu sana ya kufanya mapenzi ila mwenzangu anaogopa kumharibu mtoto aliye tumboni maana kaambiwa ukifanya mapenzi na mtu mwingine tofauti na mumeo aliyekupa mimba utaharibu mtoto(hatujui anaharibikaje)
je kuna uwezekano wa mtoto kuharibika kama tutafanya kwa kondom?
je kuna uhalisia kibiologia mtoto kuharibika kwa kufanya mapenzi na mwanaume asiyehusika na mimba
ni muda gani mdada mjamzito anapaswa kuacha kufanya mapenzi nje ya mume wake kama itabidi!
majibu yenu yatasaidia wengi
(ni rafiki yangu wa karibu sana kaniomba ushauri)