Hamna fundi wa Tanesco anaiba mafuta kwa sababu wanajua adha wanayokutana nayo wakiwa site... Hao wanaofanya hivyo sio mafundi wa Tanesco bali ni watu wanaofahamu umeme wanaamua kulihujumu shirika.
Mimi mwenyewe nipo hapa nasema kuwa kula tango na asali hakuna madhara yeyeto.... Anayebisha anunue beseni la matango na asali litre 5 niwaoneshe kuwa asali na tango sio sumu.
Sikia hii mbwa..!! Usijione kuwa upo sehem salama wakati huo unaouita uislam umeletewa na waarabu... Mpuuzi kabisa yan usidhihaki dini ya mwenzako ilihal ww hujui kama upo sehem salama au laah..!!
Human trafficking.... Ukitaka kuruka agana na nyonga... Maamuzi ni yako mkuu nakutakia safari njema ya mwisho wa mwaka
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.