Hivi kwani watu wote wanaopenda hivyo vitu viwili ulivyovisema "Pombe na Ngono".. Huwa ni vigumu kufanikiwa???
Na kwani kufanikiwa kwa wapambanaji ni Kununua gari??.
Wakuu poleni na majukumu, naomba kuuliza kama kuna mtu anaufahamu huu mmea. Kuna Boss wangu (Indian old man) amekuwa akitumia kila asubuh kwa kuweka kwenye maji yake ya kunywa.
Kama kuna ambaye yupo familiar na huu mmea ningeomba kujua yafuatayo...
1. Unaitwaje?
2. Unasaidia nini/faida zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.