Recent content by Van classic

  1. Van classic

    Vifahamu vyeo vya askari polisi wa Tanzania na alama zake

    kwaiyo mkuu polis anaeza akawa ni corproal Bado pia akawa RPC hii imekaaje ki nidhamu endapo Kuna Mkubwa wake chini Yeye labda ana nyota tatu afu sio RPC
  2. Van classic

    Vifahamu vyeo vya askari polisi wa Tanzania na alama zake

    Wakubwa polen kwa shuhuli za Kujenga Taifa letu......kuna swali linanisumbua Kuhusu vyeo vya jesh letu la polisi kwa mfano unakuta polis labda ni RPS au OCD au tena OCID hii imekaaje kiutofaut na vyeo kama CORPLO, SARGENT, INSPECTOR.....kama sijaeleweka ntaomba kuiweka sawa kulingana na...
  3. Van classic

    Waziri Jafo: Kuna watu wanadhani watakaoingia mbinguni ni wale wanaosali sana kumbe watenda kazi kama Rais Magufuli wataenda peponi!

    Suala la lissu kupigwa risasi lina mlolongo mrefu Sana Usiende kwa serikali moja kwa moja.....mbowe pia nae anahusika kwa namna moja au nyingine ila tu kajificha kwa kivuli cha serikali
  4. Van classic

    Kwa anayehitaji fundi umeme

    Kwa mahitaji ya kufanyiwa installation kuanzia awamu ya kwanza hadi awamu ya finishing. Bei zangu huwa ni rafiki sana kwa mkoa wa Dodoma ndiyo rahisi zaidi kukutana. Namba zangu za kazi ni 0752768907
  5. Van classic

    Mchekeshaji na Mtangazaji wa EA Redio, Zembwela atiamkia Wasafi FM

    halafu mbona eatv na radio..... Watangazaji wanahama Sana mfano Suzy Bernard wa Kipind cha e news hayupo pia sammisago nae hayupo zembwela nae ndo ivo
  6. Van classic

    Mwakyembe ampongeza Diamond na Wasafi kuzindua kipindi cha sports arena

    kitenge huyo huyo alie mdiss mond kweny msiba wa ruge baada ya kuingia na mabaunsa Saba..... Leo ndo kamuajiri wasafi ama kweli usimtukane mamba kabla ujavuka mto
  7. Van classic

    Kweli harmonize kaondoka Wcb

    Ndo jibu hilo
  8. Van classic

    Kweli harmonize kaondoka Wcb

    Kweli ila imeelweka mkuu
  9. Van classic

    Kweli harmonize kaondoka Wcb

    Ety wadau kwa anaefaham hili
  10. Van classic

    Morogoro: Lori la Mafuta lapata ajali na kulipuka, watu 104 Wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa...(Picha zinaogofya)

    Afu sijui kwanini kwenye matukio km hayo lazima Kuna mtu anatokea anachomoa betri tu
Back
Top Bottom